Nantahulila
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 2,162
- 1,806
Uislam ni man made religion brazaMbona QURAN iko wazi kabisa huko ndio katu huwezi kusogelea kwa mfano , hilo sualaa la kukabwa , ilifikia mahali mpaka mtume akawa muoga kwa Jibril anamuona kama adui , Mungu akamtoa hofu
QURAN 2:97
"; sema; aliyekuwa ni adui wa Jibril , basi huyo ndiye aliyeiteremsha Quran moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa waumini;"
hapa unachotaka utapata hofu ondoa, uislamu huko wazi kabisaaaaaaa