Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,994
Amani iwe juu yenu.
Nianze kwa kunukuu kutoka sura ya NNAJIM(nyota) aya ya kwanza inasema"hakuna anachosema muhammad isipokuwa wahyi" ni kwamba wengi wanamzushia uchawi na kumwambia mtunga mashairi ila mungu anawaambie wote wanaokebehi kuwa yeye ndiye anaongea kupitia mtume wake.
Wengine wanamwita au kuita uislamu dini ya kichawi kwa uzushi wa kusema wanatumiliwa majini wazuri wakati ni uongo na hata mungu amewaonya binadamu wanaofanya uchawi kwa kuiga/kumzushia maisha ya mtume suleimani kuwa alitumia majini.
Surat Baqara 102 "wapo wanaotenda uchawi na kukufuru kwa kumzushia nabii suleimani ila uchawi huo umetoka kweny mji wa babeli kutoka kwa haruta na maruti.na hawafunz watu mpk kuwaambia hakika yetu sisi ni mtihani,wanafunza watu uchawi na kufarakanisha.
Nianze kwa kunukuu kutoka sura ya NNAJIM(nyota) aya ya kwanza inasema"hakuna anachosema muhammad isipokuwa wahyi" ni kwamba wengi wanamzushia uchawi na kumwambia mtunga mashairi ila mungu anawaambie wote wanaokebehi kuwa yeye ndiye anaongea kupitia mtume wake.
Wengine wanamwita au kuita uislamu dini ya kichawi kwa uzushi wa kusema wanatumiliwa majini wazuri wakati ni uongo na hata mungu amewaonya binadamu wanaofanya uchawi kwa kuiga/kumzushia maisha ya mtume suleimani kuwa alitumia majini.
Surat Baqara 102 "wapo wanaotenda uchawi na kukufuru kwa kumzushia nabii suleimani ila uchawi huo umetoka kweny mji wa babeli kutoka kwa haruta na maruti.na hawafunz watu mpk kuwaambia hakika yetu sisi ni mtihani,wanafunza watu uchawi na kufarakanisha.