Marehemu Ruge "alivyonidanganya"

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
4,975
9,721
Ulikua ni muendelezo wa msimu wa fiesta unayofanyika karibu kila mwaka, utofauti wa msimu huu mwingine ni kuwa msimu uwo wa fiesta ndio kilizaliwa kichanga ambacho sasa kimekua na tayari kinajitegemea kinaitwa FURSA.

Timu ya fursa sijui iliongozwa na nani ila Marehemu Ruge Mutahaba nae alikuwepo, Ilizunguka maeneo mbali mbali kwenye jiji nililokuwepo bila kificho na kujaribu kuweka bayana baadhi ya fursa ambazo zinapatikana kwenye sekta mbalimbali kama rasharasha tu ila lengo kuu ilikua kutukaribisha kwenye tukio kuu la Fursa lillikua linaenda kufanyika katika moja ya kumbi maarufu jiji hapo.

Long story short, kwenye mengi aliyozungumza Marehemu Ruge, moja lilikua ni kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa vipindi vya televisheni hasa katika vituo vya kurushia matangazo vya ndani. Hakuishia hapo aliongezea kwa kusema uhaba uwo upo mpaka nje ya nchi, kwamba ushakutana na vituo vikubwa Africa vipo nchini kutafuta maudhuhi kutoka kwa wazalishaji wa ndani na kuondoka bila mafanikio. Mwamba akachangiza kwa kusema tuchangamikia fursa, vijana tusilale... Bhana wewe si nikasema mwamba ndio huyu.

Mwananenu nikazama chimbo kutengeneza maudhuhi ya pekee kabisa, ambayo mpaka muda wa nachapisha bandiko hili bado haijaruka hata ya kufanana nayo.

Miaka mitano nyuma kutoka mwaka huu, Mchongo wangu mkononi nikaanza kugonga milango ya vituo vyetu vya habari. Nikaanza na kituo pendwa cha burudani kwa vijana Clouds Media, Nikaambulia maneno matupu ya siyo eleweka vivyo hivyo EATV, EFM. Kipindi hicho Wasafi TV ilikuwa bado haijatinga kwa hewa.

Mpaka leo nashindwa kuelewa ni kwamba
1. Marehemu alikuwa anafurahisha genge kwa kusema yale
2. connection ndiyo iliyonikwamisha
3. Sikukutana na watu sahihi kwenye malango yale

Mwenye connection anakaribishwa
 
Ulikua ni muendelezo wa msimu wa fiesta unayofanyika karibu kila mwaka, utofauti wa msimu huu mwingine ni kuwa msimu uwo wa fiesta ndio kilizaliwa kichanga ambacho sasa kimekua na tayari kinajitegemea kinaitwa FURSA.

Timu ya fursa sijui iliongozwa na nani ila Marehemu Ruge Mutahaba nae alikuwepo, Ilizunguka maeneo mbali mbali kwenye jiji nililokuwepo bila kificho na kujaribu kuweka bayana baadhi ya fursa ambazo zinapatikana kwenye sekta mbalimbali kama rasharasha tu ila lengo kuu ilikua kutukaribisha kwenye tukio kuu la Fursa lillikua linaenda kufanyika katika moja ya kumbi maarufu jiji hapo.

Long story short, kwenye mengi aliyozungumza Marehemu Ruge, moja lilikua ni kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa vipindi vya televisheni hasa katika vituo vya kurushia matangazo vya ndani. Hakuishia hapo aliongezea kwa kusema uhaba uwo upo mpaka nje ya nchi, kwamba ushakutana na vituo vikubwa Africa vipo nchini kutafuta maudhuhi kutoka kwa wazalishaji wa ndani na kuondoka bila mafanikio. Mwamba akachangiza kwa kusema tuchangamikia fursa, vijana tusilale... Bhana wewe si nikasema mwamba ndio huyu.

Mwananenu nikazama chimbo kutengeneza maudhuhi ya pekee kabisa, ambayo mpaka muda wa nachapisha bandiko hili bado haijaruka hata ya kufanana nayo.

Miaka mitano nyuma kutoka mwaka huu, Mchongo wangu mkononi nikaanza kugonga milango ya vituo vyetu vya habari. Nikaanza na kituo pendwa cha burudani kwa vijana Clouds Media, Nikaambulia maneno matupu ya siyo eleweka vivyo hivyo EATV, EFM. Kipindi hicho Wasafi TV ilikuwa bado haijatinga kwa hewa.

Mpaka leo nashindwa kuelewa ni kwamba
1. Marehemu alikuwa anafurahisha genge kwa kusema yale
2. connection ndiyo iliyonikwamisha
3. Sikukutana na watu sahihi kwenye malango yale

Mwenye connection anakaribishwa
Temana na Ruge. Muache apumzike.

Wakumsema vibaya ni yule mtesi wetu aliyetupora mali zetu, aliyetubomolea nyumba zetu aliyempiga risasi braza lissu.
 
Ulikua ni muendelezo wa msimu wa fiesta unayofanyika karibu kila mwaka, utofauti wa msimu huu mwingine ni kuwa msimu uwo wa fiesta ndio kilizaliwa kichanga ambacho sasa kimekua na tayari kinajitegemea kinaitwa FURSA.

Timu ya fursa sijui iliongozwa na nani ila Marehemu Ruge Mutahaba nae alikuwepo, Ilizunguka maeneo mbali mbali kwenye jiji nililokuwepo bila kificho na kujaribu kuweka bayana baadhi ya fursa ambazo zinapatikana kwenye sekta mbalimbali kama rasharasha tu ila lengo kuu ilikua kutukaribisha kwenye tukio kuu la Fursa lillikua linaenda kufanyika katika moja ya kumbi maarufu jiji hapo.

Long story short, kwenye mengi aliyozungumza Marehemu Ruge, moja lilikua ni kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa vipindi vya televisheni hasa katika vituo vya kurushia matangazo vya ndani. Hakuishia hapo aliongezea kwa kusema uhaba uwo upo mpaka nje ya nchi, kwamba ushakutana na vituo vikubwa Africa vipo nchini kutafuta maudhuhi kutoka kwa wazalishaji wa ndani na kuondoka bila mafanikio. Mwamba akachangiza kwa kusema tuchangamikia fursa, vijana tusilale... Bhana wewe si nikasema mwamba ndio huyu.

Mwananenu nikazama chimbo kutengeneza maudhuhi ya pekee kabisa, ambayo mpaka muda wa nachapisha bandiko hili bado haijaruka hata ya kufanana nayo.

Miaka mitano nyuma kutoka mwaka huu, Mchongo wangu mkononi nikaanza kugonga milango ya vituo vyetu vya habari. Nikaanza na kituo pendwa cha burudani kwa vijana Clouds Media, Nikaambulia maneno matupu ya siyo eleweka vivyo hivyo EATV, EFM. Kipindi hicho Wasafi TV ilikuwa bado haijatinga kwa hewa.

Mpaka leo nashindwa kuelewa ni kwamba
1. Marehemu alikuwa anafurahisha genge kwa kusema yale
2. connection ndiyo iliyonikwamisha
3. Sikukutana na watu sahihi kwenye malango yale

Mwenye connection anakaribishwa
Usifanye maamuzi ya Maisha Kwa kusikiliza mtu. Fanya utafiti wako mwenyewe jidhihirishe na uchukue hatua. Umefanya Makosa makubwa Sana kuchukua maamuzi Kwa kumsikiliza mtu ambaye maisha yako na yake yametofautiana. Binadamu hatufanani hata siku moja tambua Hilo chukua ushauri uchuje ndio utumie. Haya ni mawazo yangu tu kaka.
 
Ulikua ni muendelezo wa msimu wa fiesta unayofanyika karibu kila mwaka, utofauti wa msimu huu mwingine ni kuwa msimu uwo wa fiesta ndio kilizaliwa kichanga ambacho sasa kimekua na tayari kinajitegemea kinaitwa FURSA.

Timu ya fursa sijui iliongozwa na nani ila Marehemu Ruge Mutahaba nae alikuwepo, Ilizunguka maeneo mbali mbali kwenye jiji nililokuwepo bila kificho na kujaribu kuweka bayana baadhi ya fursa ambazo zinapatikana kwenye sekta mbalimbali kama rasharasha tu ila lengo kuu ilikua kutukaribisha kwenye tukio kuu la Fursa lillikua linaenda kufanyika katika moja ya kumbi maarufu jiji hapo.

Long story short, kwenye mengi aliyozungumza Marehemu Ruge, moja lilikua ni kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa vipindi vya televisheni hasa katika vituo vya kurushia matangazo vya ndani. Hakuishia hapo aliongezea kwa kusema uhaba uwo upo mpaka nje ya nchi, kwamba ushakutana na vituo vikubwa Africa vipo nchini kutafuta maudhuhi kutoka kwa wazalishaji wa ndani na kuondoka bila mafanikio. Mwamba akachangiza kwa kusema tuchangamikia fursa, vijana tusilale... Bhana wewe si nikasema mwamba ndio huyu.

Mwananenu nikazama chimbo kutengeneza maudhuhi ya pekee kabisa, ambayo mpaka muda wa nachapisha bandiko hili bado haijaruka hata ya kufanana nayo.

Miaka mitano nyuma kutoka mwaka huu, Mchongo wangu mkononi nikaanza kugonga milango ya vituo vyetu vya habari. Nikaanza na kituo pendwa cha burudani kwa vijana Clouds Media, Nikaambulia maneno matupu ya siyo eleweka vivyo hivyo EATV, EFM. Kipindi hicho Wasafi TV ilikuwa bado haijatinga kwa hewa.

Mpaka leo nashindwa kuelewa ni kwamba
1. Marehemu alikuwa anafurahisha genge kwa kusema yale
2. connection ndiyo iliyonikwamisha
3. Sikukutana na watu sahihi kwenye malango yale

Mwenye connection anakaribishwa
Ruge alikuwa kweli, Redio hazikuwa nyingi na zimeibuka nyingi baada ya kina Ruger mengi na Dialo kuiona fursa
Mtandao nao umeleta fursa nyingine wajanja wametumia mfano Mirada Ayo TV.
Tusitake kutafuniwa Kila kitu.
 
Alikuwa sahihi,huoni pale Azam watu wanakula pesa tamthilia za kina mama kimbo
Kila Kona ya Tanzania Leo kumekuwa na Redio na hizo zote zinataka content. Tuko kwenye ulimwengu wa content, kama ni mahiri unatoboa ila wengi tunapenda kitonga.
Ruge aliona mbali sana anastihilu tuzo, anebadili fikra za wengi japo wengi humuona kama tapeli.
 
Usifanye maamuzi ya Maisha Kwa kusikiliza mtu. Fanya utafiti wako mwenyewe jidhihirishe na uchukue hatua. Umefanya Makosa makubwa Sana kuchukua maamuzi Kwa kumsikiliza mtu ambaye maisha yako na yake yametofautiana. Binadamu hatufanani hata siku moja tambua Hilo chukua ushauri uchuje ndio utumie. Haya ni mawazo yangu tu kaka.
Ushauri malidhawa, hakika nitaufanyia kazi
 
Ulikua ni muendelezo wa msimu wa fiesta unayofanyika karibu kila mwaka, utofauti wa msimu huu mwingine ni kuwa msimu uwo wa fiesta ndio kilizaliwa kichanga ambacho sasa kimekua na tayari kinajitegemea kinaitwa FURSA.

Timu ya fursa sijui iliongozwa na nani ila Marehemu Ruge Mutahaba nae alikuwepo, Ilizunguka maeneo mbali mbali kwenye jiji nililokuwepo bila kificho na kujaribu kuweka bayana baadhi ya fursa ambazo zinapatikana kwenye sekta mbalimbali kama rasharasha tu ila lengo kuu ilikua kutukaribisha kwenye tukio kuu la Fursa lillikua linaenda kufanyika katika moja ya kumbi maarufu jiji hapo.

Long story short, kwenye mengi aliyozungumza Marehemu Ruge, moja lilikua ni kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa vipindi vya televisheni hasa katika vituo vya kurushia matangazo vya ndani. Hakuishia hapo aliongezea kwa kusema uhaba uwo upo mpaka nje ya nchi, kwamba ushakutana na vituo vikubwa Africa vipo nchini kutafuta maudhuhi kutoka kwa wazalishaji wa ndani na kuondoka bila mafanikio. Mwamba akachangiza kwa kusema tuchangamikia fursa, vijana tusilale... Bhana wewe si nikasema mwamba ndio huyu.

Mwananenu nikazama chimbo kutengeneza maudhuhi ya pekee kabisa, ambayo mpaka muda wa nachapisha bandiko hili bado haijaruka hata ya kufanana nayo.

Miaka mitano nyuma kutoka mwaka huu, Mchongo wangu mkononi nikaanza kugonga milango ya vituo vyetu vya habari. Nikaanza na kituo pendwa cha burudani kwa vijana Clouds Media, Nikaambulia maneno matupu ya siyo eleweka vivyo hivyo EATV, EFM. Kipindi hicho Wasafi TV ilikuwa bado haijatinga kwa hewa.

Mpaka leo nashindwa kuelewa ni kwamba
1. Marehemu alikuwa anafurahisha genge kwa kusema yale
2. connection ndiyo iliyonikwamisha
3. Sikukutana na watu sahihi kwenye malango yale

Mwenye connection anakaribishwa

Ajakudanganya, kasema ukweli kabisa, swala la kufanikisha si lake, but demand ipo dunia yote.
 
Back
Top Bottom