Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
Juzi nlkua nasikiliza nyimbo ya ice-cream ya noorah nkaona ubora wake marehemu roy, apumzke kwa Amani
Mj records, master j mwenyewe.Hivi wimbo wa Sina demu wa B Boy alitengeneza huyu Roy?
Poa poa.Mj records, master j mwenyewe.
alikua producer anaitwa Roy bukuku amefariki katengeneza hit songa nyingi way back haswa za blue na enikaMkuu Roy ni nani...wengine tuliingia mjini kwa mbio za mwenge kwa kuchelewa.
I don't know alikufa kwa nini poleni sanaMimi mwenyewe natoa mimacho hata simuelewi. Alikufa kwa ugonjwa au ajali?
Simjui ila kwa nyimbo zilizo tajwa ametisha sanaaaa
Miika mwamba,Amit Bajaj aka mentorUsiwasahau akina mikamwamba na akina prof ludigo aliyetengeneza hii leo, tutakukumbuka, na ngoma kibao toka mj records na bongo records
We binti wewe uko informed ba mambo ya mziki deeply ebu nipe siri ya kuwa informed maana madada wengi wanajua waimbaji siyo waandaaji labda wawe WCBMiika mwamba,Amit Bajaj aka mentor
SnaleeJamaaa kipindi hicho nilikuwa namuona ye na blu bongo bahati mbaya.
Enzi za visual lab na ile video ya snalee ft blu- microphone nadaka
Usishangae unaweza kumsifia mtu kupitia kazi zake
Kweli kaka!mi siku hizi sisikilizi mziki nauona mbovuu kweli!Usishangae unaweza kumsifia mtu kupitia kazi zake
Uko vizuri, basi eti nikawa nashangaa Adam alivyoweka blu na snalee wanaonekana wengi yani nikawa naona ile video level ya akina ja ruleSnalee
microphone nadaka snoope lee
Na chapaa nakamata snoop Lee
Naheshima nazisaka snoop lee
Enzi hizo zeze inatamba kutoka 2eyesGame imechange sana kuanzia aina ya unaji studio za mziki mpaka videos.
Visual lab kapotea, nisher naye chalii, akina epidu walishawapoteza empty soulz, 2eyes, mwananchi production, benchmark production tayari
Teh teh kwamba na wewe ni wanyuma kidogo basi vemaKweli kaka!mi siku hizi sisikilizi mziki nauona mbovuu kweli!
Dah eti walivyokuwa tid na moe wamevaa na ribon zao nilikuwa nawaona ka mbele over sisqo, ukinix na kushake dah.Enzi hizo zeze inatamba kutoka 2eyes
Adam wa visual lab kafia wapi jamani maana ndiyo aliyeleta mapinduzi kwenye video Tzz
sana tu yaani nazipenda mnoo!Teh teh kwamba na wewe ni wanyuma kidogo basi vema
Nnaflash yangu hapa gulioni siku nikiiweka wateja wanazitamani kweli
wamening'iniza Nokia jeneza zao shingoniDah eti walivyokuwa tid na moe wamevaa na ribon zao nilikuwa nawaona ka mbele over sisqo, ukinix na kushake dah.
Adam kuna kipindi alikuwa kama ana stress
Ahsanteeeekuna yule dada wa kiss fm jina lake sherry enzi hizo ikifika saa 12 hadi mbili kasoro jioni walikuwa na kipindi cha bongo flava yuko wapi wahenga wenzangu?
Hahaha na nokia ringo.wamening'iniza Nokia jeneza zao shingoni
Adam visual kwa nini sasa?