Marehemu Roy alikuwa anajua sana

Nadhani sasa tunadili na kizazi kipya mno si kile kilichofanya mziki kipindi kile,nimeusoma huu uzi kwa muda lakini kote naona masifio tu ya third parties/yaani sio wale washriki kwenye game,Nitakayoyasema naomba tusameheane kma nimewakwaza mashabiki wake lkn naongea kma mshiriki kwenye game na ninao uonge ni ukweli kadri niujuavyo mimi.Kifupi jamaa alikuwa ni wa kawaida mno ila kwa kibongo bongo alionekana anajua biti zake loko mno produktion ya kubahatisha ni ile frutloop tu ndo aliyotumia enzi hizo,mi nilishindwa kufanya kazi kwake sabab hakuwana uwezo kipindi hicho ukakaa nae akakusikiliza unavyo floo kisha akakutengenezea biti papo kwapapo alikuwa hawezi hata ana mwanae mmoja ndo alikuwa ana mwachia studio alikuwa hamna kitu,kifupi nilipokwenda nikamsikilizisha masongi yangu na nkataka namna nyimbo yangu biti yake iende kimfumo gani jamaa akachomoa akasema sisi hapa unalipa hela halafu tunakupa biti ambazo tumekwisha zitengeneza unaenda kufanya mazoezi aliponisikilizisha hizo biti ndo nlichoka midundo ile ya loko loko kama biti za majani infact walikuwa wanaigana biti wakati mimi nataka biti classic hata kama si internatn basi zinzofanana ndo tuliposhindwana hapo halafu alikuwa harsh sana,sorry nmeongea nachokijua huu ndo ukweli wangu kama nimewaumiza mashabiki wake si lengo langu bali ni kui balance mizani tu
Mi sijui mziki kwangu alikua anajua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom