wewe jamaa .... hivi ukiwa kama daktari halafu mwizi akaletwa hospitalini ameumizwa vibaya je hautamtibu kwasababu ni mwizi ?
<br />wewe jamaa .... hivi ukiwa kama daktari hala<span style="font-family: &quot">f</span>u mwizi akaletwa hospitalini ameumizwa vibaya je hautamtibu kwasababu ni mwizi ?
<br />
<br />
safi sana ulivyomfafanulia.
Unaleta mifano ya Kindergarten kwa Great Thinkerswewe jamaa .... hivi ukiwa kama daktari halau mwizi akaletwa hospitalini ameumizwa vibaya je hautamtibu kwasababu ni mwizi ?
hapa ndo ninapokuwa na doubt na uelewa wa wanaJF wengi. hivi kutibu mtu ndo kumtetea na kuhalalisha wizi wake? Marando anawatetea. hivi ni vitu viwili tofauti kabisa. nashangaa wengi wanaokusifu kwa utumbo wako huu. Mleta mada unamantik. marando is threat to chadema than any. even shibuda is less. mark my words.wewe jamaa .... hivi ukiwa kama daktari halafu mwizi akaletwa hospitalini ameumizwa vibaya je hautamtibu kwasababu ni mwizi ?
hapa ndo ninapokuwa na doubt na uelewa wa wanaJF wengi. hivi kutibu mtu ndo kumtetea na kuhalalisha wizi wake? Marando anawatetea. hivi ni vitu viwili tofauti kabisa. nashangaa wengi wanaokusifu kwa utumbo wako huu. Mleta mada unamantik. marando is threat to chadema than any. even shibuda is less. mark my words.
Unaleta mifano ya Kindergarten kwa Great Thinkers
ndio mtakapojua kuwa hakuna upinzani tanzania wote wako kwa ajili ya kutaka kula tuuuu na hawana jipya eti watasaidia watu hakuna ppo wala nini nguvu...Wana JF
Kwanza na-declare interest mm ni mfuasi na mwanachama wa CHADEMA, Hili swala la Marando kuwa wakili wa baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi km vile manji na mahalu litakuja kuwa na madhara makubwa sana hapo badae ktk harakati za chama za kuchua dola
Natambua kabisa ile ni professional yake na ni vigumu aache kazi aliyoisomea kwa muda mrefu, lakini kabla ya kuchua kazi lazima mtu ufanya client assessment, Kwa kuwa ameamua kuwa ktk siasa na kufanikiwa kuwa mjumbe wa cc ya cdm ni wakati wake muafaka wa kuhakikisha kimoja kati ya professional yake na siasa hakuna kinacholeta madhara kwa kingine. Kwa hiyo moja ya criteria ya kutumika kwake kum-accept client iwe ni asiwe mtuhumiwa wa ufisadi
Nionavyo mm professional yake kwa sasa inaleta madhara ktk siasa si kwake tu bali kwa Chadema kwa ujumla coz ni vigumu sana mtu kupinga ufisadi majukwaani na kuukubali mahakamani na watu wote wakaamua kukuamini ww ni mpiganaji wa kweli wa ufisadi.
Swala kubwa la sisi wana-chadema tunalotakiwa kulielewa ni kwamba asilimia kubwa ya wananchi hawawezi kutofautisha professional na siasa kiasi kwamba point tutakayoitumia kuuelezea uma ya kuwa hii ni siasa na hii ni professional haitaweza kuzaa matunda yeyote.
Marando na uongozi wa juu ulitazame hili kwa mapana na marefu ili nguvu iliyokwisha tumika kukifikisha chama hapa isije kupotea kirahisi kisa mtu mmoja ambae ana uwezo wa kuchua kesi zingine na kuendelea na maisha. Tujiulize swali dogo kwa mfano leo ROSTAM amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa KAGODA na marando akafanya km anavyofanya kwa wale wa EPA itakuwa sahihi? Au kuwatetea wa EPA itakuwa halali na kumtetea Rostam itakuwa haramu wakati wote ni mafisadi?
Nawasilisha
Comrade Ngwendu, ni kweli kabisa hawa Pro-CDM-JF,uelewa wao ni mdogo sana kama huo mfano wa mgonjwa na Wakili.hapa ndo ninapokuwa na doubt na uelewa wa wanaJF wengi. hivi kutibu mtu ndo kumtetea na kuhalalisha wizi wake? Marando anawatetea. hivi ni vitu viwili tofauti kabisa. nashangaa wengi wanaokusifu kwa utumbo wako huu. Mleta mada unamantik. marando is threat to chadema than any. even shibuda is less. mark my words.
Mleta mada hajui anachosema kabisaaa kwani akiwa mwanasheria si ni kazi yake kutetea watu au umehujui kazi yake pole badilisha mada kwani umechemka.