Habari za wakati huu,
Maranatha ya Kabwe Mbeya kwanin hamtupi wateja risiti???? Nimelipia dawa ya kupaka ya gram 50 nimepewa ya gram 20 nimeondoka bila kukagua nafika nyumbani naona tofauti, kurudi siwezi maana sina risiti.
Na hii sio kwangu tu nilisikia na kwa mwingine. Maranatha zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.