Marais watatu Nchi moja imeonekana wapi ?

Marais watatu Nchi moja imeonekana wapi ?

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,016
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo,
kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.
Mimi mwenyewe sijawahi kuona nchi ina marais wawili.Very strange
 
Kwa vile muungano huu umekosa ridhaa ya wananchi ni ngumu sana kudumu kwa muungano huu,kwa vile wazanzibar tumeshaona usanii wa muungano huu hatuna budi kusema zanzibar irejeshewe mamlaka yake tubaki na ujirani tu na watanganyika.
 
Wewe tumia akili zako badala ya za kuazima kutoka kwa Mulugo! Tanzania ni muungano wa nchi 2 zenye mamlaka kamili, Zanzibar ikiwa na katiba inayojitegemea!!
 
Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.
 
Wewe tumia akili zako badala ya za kuazima kutoka kwa Mulugo! Tanzania ni muungano wa nchi 2 zenye mamlaka kamili, Zanzibar ikiwa na katiba inayojitegemea!!
Nchi mbili zikiungana inakuwa nchi moja (I mean two become one) sijawahi kuona na sitaki kuaminishwa nchi yenye maraisi wawili and that mistake need tobe corrected my dear comrade
 
Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.


Nami nimecheka tu kaka Pasco kwa bandiko lako!!!!
 
Last edited by a moderator:
United Arab emirates kwa ufupi Dubai ,huko muungano ni nchi saba ,na kila nchi ina raisi wake huitwa Hakim ,kwa mfano huanzia kwa Sheikh fulani bin fulani mkuu wa majeshi na hakim wa Shaja ,mfano ila hiyo Hakim ni kama Raisi wa hiyo Shaja Na zaidi ya wote ni Mkuu wa hiyo united arabuemirates ,sasa kusema hujaona inawezekana ila leo utakuwa umeona ,nenda kaguguli ,utupunguzie mzigo.
 
United Arab emirates kwa ufupi Dubai ,huko muungano ni nchi saba ,na kila nchi ina raisi wake huitwa Hakim ,kwa mfano huanzia kwa Sheikh fulani bin fulani mkuu wa majeshi na hakim wa Shaja ,mfano ila hiyo Hakim ni kama Raisi wa hiyo Shaja Na zaidi ya wote ni Mkuu wa hiyo united arabuemirates ,sasa kusema hujaona inawezekana ila leo utakuwa umeona ,nenda kaguguli ,utupunguzie mzigo.
Hoja yangu ni kwamba kama inawezekana kuwa na serikali mbili basi hata sita
 
rais wa tff, raisi wa bft, rais wa manzese, rais wa wasafi, rais wa udom,udsm, sua, dit, ifm na raisi wa pct...n.k hawa hushangai unashangaa watatu tu!
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.
Kwa nini ushangai nchi yenye marais wawili na wote wakiwa maamili jeshi wakuu?
 
Ili kukabiliana na tatizo la ajira, mfumo wa serikali tatu utaongza ajira kwa vijana wetu kwani idadi ya mawizara na maidara yataongezeka sana.
 
Mimi mwenyewe na shangaa kwanza itakuwa ni kisilani cha hali ya juu kweli yani nchi moja marais watatu mungu atuepushe na hili balaa.
 
Ili kukabiliana na tatizo la ajira, mfumo wa serikali tatu utaongza ajira kwa vijana wetu kwani idadi ya mawizara na maidara yataongezeka sana.
Mkuu jaribu kufanya utafiti kwanza ndiyo utajua kuwa serikali tatu siyo mpango.
 
Mkuu Pasco, Mwadila Vava?

Hapa utabisha sana ila historia hujirudia. Soon tutampata Mikhail Gorbaczev na Boris Yeltsin wa Tanganyika/Tanzania.

0004e5fa-642.jpg


Hapo ni Rais wa Tanganyika akimfokea Rais wa Tanzania kuwa aweke sahihi kwa sababu Tanganyika inajitoa kwenye Muungano na kupelekea kufa kabisa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. (Yeltsin akimfokea Gorbachev aweke sahihi ya Russia kujiondoa kwenye Muungano wa nchi za Urusi - USSR na kupelekea moja kwa moja kufa kwa Muungano).
Hili hata Nyerere alilisema na kwa tusiotaka Muungano, tunasubiri kwa hamu Serikali tatu.
Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.

Hizi ni nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar. Wewe kama Tanganyika yako huitaki hiyo ni juu yako, lakini wa Zanzibar hawakotayari kuipoteza Zanzibar yao.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.

GHIBUU,
Mbona unashangaa hilo la maraisi watatu na kusema umelisikia wapi? Nakujibu kirahisi tu, Kila kitu mbona kina mwanzo wake? Hapa napo patakuwa ndio mwanzo wake.
Nikuulize swali la kizushi tu; Weye umeuona wapi Muungano kama huu wanaosema tunao, Ka-nchi kadogo tu, watu wake wote hawafikii walioko wilaya ya Temeke Darisalama, kikaimeza nchi kuubwa zamani hizo ikiitwa Tanganyika, ikapotea kabisa kikabaki kile ki-nchi Zanziba kikazaa Tanzania. Uliona wapi.
Leo, Zanziba wanatembea kifua mbele na kusema wana kila kitu chao mpaka jeshi lake, bendera yake, wimbo wa Taifa na Ikulu yake. Tanganyika imenywea chwiiiii. Muungano huu hauna mfano wake, hivyo hata hili bunge likija na wazo kuwa tuwe na maraisi 26 siogopi kitu. Sijawahi kuona muungano kama huu.
 
Back
Top Bottom