Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

Mama Karume alikuwepo , balozi wa Ujeruman alikuwepo , wengine hawa kuwepo kwani hawakuona sababu za kushiriki uchakachuzi na usanii wa JK
 
Sherehe za Kukabidhi Katiba Inayopendekezwa siku ya jana pale Dodoma zilikosa watu muhimu (sio kisiasa ila kitaifa) watu hao ni pamoja na Dr.Salmin, Karume, Malim Seif, mama Karume (toka Zanzibar) Mkapa, Salim A.Salim, C.Msuya, Warioba, mama Maria Nyerere.

Ukawa, Prof.Lipumba, Mbatia, Mbowe.

Wenyeviti Jukwaa la Maaskofu, Shuraa ya Maimam-Ansar Sunna na wengine.

Mabalozi Uingereza, Ujerumani, Marekani.

Nini athari ya haya yote.
ile CCM halisi inayoamini itikadi ya Mwalimu haikuja - Butiku, Mwenyekiti wa kigoda cha Mwalimu Prof. Shivji pia alisepa, Mbaya zaidi hata mwenyekiti wa Tume ya Kukusanya maoni juu ya katiba hii hii pamoja na wajumbe wengi hawakutokea. Hii inaonyesha tukio hili lilikuwa la ki chama zaidi na si la kitaifa, huu ni UFA mwingine mpya uliotengenezwa na CCM.
 
Mama Fatuma karume alikuwepo alivaa nguo za pink na kamera zlimuonyesha wakat kikwete anasimulia habari za yule bibi wa Pemba alosema uenyekiti kapewa na karume hakuna wa kumnyang"anya
 
ile ccm halisi inayoamini itikadi ya mwalimu haikuja - butiku, mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu prof. Shivji pia alisepa, mbaya zaidi hata mwenyekiti wa tume ya kukusanya maoni juu ya katiba hii hii pamoja na wajumbe wengi hawakutokea. Hii inaonyesha tukio hili lilikuwa la ki chama zaidi na si la kitaifa, huu ni ufa mwingine mpya uliotengenezwa na ccm.
kinachofurahisha hapa ni huu msuguano ni wa maccm wenyeeewe na vigogo wao. Sie twaangalia tu tuone mwishoe utakuwaje
 
mama fatuma karume alikuwepo alivaa nguo za pink na kamera zlimuonyesha wakat kikwete anasimulia habari za yule bibi wa pemba alosema uenyekiti kapewa na karume hakuna wa kumnyang"anya
mtahangaika sana tu kuweka wananchi sawa lkn ukweli umeonekana wenye busara zao wameikimbia aibu ya BABA riz. Hili zigo ni lake peke yake.
 
ile CCM halisi inayoamini itikadi ya Mwalimu haikuja - Butiku, Mwenyekiti wa kigoda cha Mwalimu Prof. Shivji pia alisepa, Mbaya zaidi hata mwenyekiti wa Tume ya Kukusanya maoni juu ya katiba hii hii pamoja na wajumbe wengi hawakutokea. Hii inaonyesha tukio hili lilikuwa la ki chama zaidi na si la kitaifa, huu ni UFA mwingine mpya uliotengenezwa na CCM.

Utawala wa awamu ya nne chini ya Kikwete utaisambaratisha nchi ya Tanzania na tusishangae matukio yaliyojiri huko Zanzibar mwaka 2000 yakarudi upya tena kwa kasi ya ajabu jambo litakalosababisha kuvunjika kwa Serikali iliyotokana na muafaka ulioletwa na juhudi za wazee wenye hekima akiwemo Mhe. Karume na Maalim Seif.

Shein na Kikwete wameonesha udhaifu mkubwa kwenye uongozi wao kwa kuacha mambo ya msingi kuendeshwa kiholela huku mafisadi na wezi wa rasilimali za taifa wakisujudiwa na watawala
 
marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu sumaye pia hajaonekana dodoma..

Hii ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi?

============

binafsi sumaye alikuwepo. Ila mkapa maalim sefu, mzee jumbe, WARIOBA alitoa udhuru kuwa hatokanyaga ana shughuli muhimu sana hapa mujini.
 
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana Dodoma..

Hii ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi?

============

Sumaye alikuwepo
 
Nyie mnaosema kuwa mkapa alikuwepo mlikuwa mnaangalia kwa kutumia miwani za mbao labda.
 
binafc naelewa kabisa kaz ambazo mh. MKAPA amepiga ktk uongoz wake hivyo hana upumbavu wakupoteza muda wake kwa mambo ambayo hayajengi nchi. aher hil jembe lingeludi madalakan hakika linatustahili.
 
Mkapa na Karume ni kweli hawakuwapo, kwani Mkapa yupo nje ya nchi na Karume vilevile..Sumaye alikuwepo Mabalozi ndio usiseme kwani walijaa tele....Katiba ni yetu wananchi wewe unayeikataa ndiye fisadi tena fisadais
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana Dodoma..

Hii ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi?

============

 
Kwani marafiki wa JK anaoenda kuwatembelea walikuwepo??
 
Kwendeni zenu nyinyi nyote wachumia tumbo tu, hamna kazi za kufanya mnashinda mitandaoni kukosoa watu tu.
 
Wakati Jk kashuka chini kama anataka kuondoka, alisalimiana na mtu kama Mkapa, sina hakika kama alikuwa yeye!
 
Back
Top Bottom