Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,491
- 42,568
Matusi ya nini sasa au hupo kwenye siku zako mkuu?
Yeah sipo kwakuwa huwa sinaga
Matusi ya nini sasa au hupo kwenye siku zako mkuu?
yule aliekkuwa anaagana na kikwete lilikuwa sanam la mkapa?
sumaye alikuwepo,Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana dodoma..
Hi ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi
Mkapa alikuwepo acha unafiki.
Weka picha kuthibtisha andiko lako.
mhe.Sumaye alikuwepo ila Jembe Warioba kaonesha msimamo wake kwa alichosema.
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana dodoma..
Hi ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi
Acha umbea sumaye alikuwepo, na pia unafikiri hawa wazee hawana majukumu mengine kitaifa na kimataifa??? Shughuli ya leo ilikuwa ndogo sana.
Acha ushakunaku na ushambenga kiroboto msaga sumu Sumaye alikuwepo mwanzo mwisho...
Kuhusu mkapa na karume wamewakilishwa vyema wala kutokuwepo kwao hakumaanishi hawajaridhia....
mtalala nje kwa habari za kuokoteza mbulumundu wafitini nyie
Kuna mtu kasema hakuwepo?
Kumbuka jaji warioba ni mtu anaye jitambua na anasimamia anacho kiamini.
...dada kwa taarabu nakuaminia!!