asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Na huyo karume ndio lile lile kenge hana lolote levi tu . jizi kubwa
Na ulevi wake lakini anamsimamo.... Muulize jk habari yake.
Na huyo karume ndio lile lile kenge hana lolote levi tu . jizi kubwa
Mkapa huwa haudhurii ujinga
Na alikataa kutoa comment kuhusu huu upuuzi...kutohudhuria kwa karume kuna maana kubwa sana
Benjamin Mkapa hakuwepo, yule aliempa mkono jk wakat anatoka ni afisa usalama
Wana-UKAWA hafla wanazozijua ni maandamano tu!Watu makini uhudhuria hafla makini!
Na ulevi wake lakini anamsimamo.... Muulize jk habari yake.
Msimamo wa kuiba ndio ako nao ..JK amemvusha yule ----- huko kwao hakuwa ata anatakiwa usitake tuseme mengi hapa.