Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana dodoma..
Hi ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi

Yaani kwa akili yako unatarajia watu wenye akili waende dodoma kuwasikiliza akina mpoto na Jk.
 
Mkapa alikuwepo na walipeana mkono na jk wakati jk akienda kupanda gari lake na kuondoka. Kama hukuangalia mpaka mwisho basi hata ukisema mkapa hakuwepo nisawa.

Mkapa alikuwepo.
 
Hongera Rais wetu kwa kutupati katiba mpya, Hakika ndoto yako imetimia.

Mungu na akubariki saana, Hakika tutakukumbuka sana
 
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana dodoma..
Hi ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi

Ebu tupatie source yako inayosema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa. Acha kuwa na mawazo finyu kiasi hicho. Baadhi walikuwapo, unahitaji goggles.
 
Mkapa alikuwepo na walipeana mkono na jk wakati jk akienda kupanda gari lake na kuondoka. Kama hukuangalia mpaka mwisho basi hata ukisema mkapa hakuwepo nisawa.

Mkapa alikuwepo.

Mkapa hakuwepo. Aliyekuwapo ni Mwinyi na alitajwa kwenye salamu. Sumaye alikuwapo. Karume hakuwapo wala Abdul Jumbe.
 
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana dodoma..
Hi ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi

Futa hii.. Sumaye alikuwepo.. Mkapa na Karume wameona ni upuuzi m2pu!
 
Acha ushakunaku na ushambenga kiroboto msaga sumu Sumaye alikuwepo mwanzo mwisho...

Kuhusu mkapa na karume wamewakilishwa vyema wala kutokuwepo kwao hakumaanishi hawajaridhia....

mtalala nje kwa habari za kuokoteza mbulumundu wafitini nyie
Hata Mzee Aboud Jumbe nimemuona. Waache ushankupe.
 
Acha ushakunaku na ushambenga kiroboto msaga sumu Sumaye alikuwepo mwanzo mwisho...

Kuhusu mkapa na karume wamewakilishwa vyema wala kutokuwepo kwao hakumaanishi hawajaridhia....

mtalala nje kwa habari za kuokoteza mbulumundu wafitini nyie

Tulia acha matusi wewe, hivi vijamaa vikipataga kazi serikalini basi hata akili inahamia huko huko
 
Tulia acha matusi wewe, hivi vijamaa vikipataga kazi serikalini basi hata akili inahamia huko huko

Nawewe unataka nikuingize?

Karibu tule raha Leo ni free time ya kupiga ma wine na whisky tumepewa ED ya kazini so don't worry
 
Acha ushakunaku na ushambenga kiroboto msaga sumu Sumaye alikuwepo mwanzo mwisho...

Kuhusu mkapa na karume wamewakilishwa vyema wala kutokuwepo kwao hakumaanishi hawajaridhia....

mtalala nje kwa habari za kuokoteza mbulumundu wafitini nyie

Matusi ya nini sasa au hupo kwenye siku zako mkuu?
 
Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana dodoma..
Hi ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili wa JMT,Ali Hassan Mwinyi (Mzee Rukhsa) alikuwepo...?
 
Haramia mkapa alikuwepo nimefika home saa 2 ile nafungua naona kikwete anamsalimia huku akielekea kupanda gari
 
Wengine ni malezi mabovu mkuu , hasa kama baba ni mlevi .

Njoo Dodoma hotel nikupige offer kamanda huku tunashangilia ushindi....

Nakulipia nauli Kama uko mbali kuhusu kazi usijali situation iko under control...
 
Back
Top Bottom