Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

Marais wastaafu wakacha sherehe Dodoma

Marais hawa wastaafu hawajaonekana katika tukio hili la kiistoria pamoja na waziri mkuu mstaafu Sumaye pia hajaonekana Dodoma..

Hii ni kusema hawajaridhika na mchakato ulivyopelekwa au wapo nje ya nchi?

============


Wewe unaonekana ni wale wazushi waliokubuhu , sisi tuliokuwepo uwanjani na kushuhudia tulimuona Mkapa , wewe Mkapa unayemsema ni yupi kijana uwe makini kutamka usichojua.
 
Shida yenu mnabishana hamjui hata protokali hivi rais mstaafu awepo alafu asitajwe kwenye risala wala kukaa kwenye nafasi yake? Balozi wa ujerumani alitajwa ila hakuwepo, ambao hawakuwepo ni USA, UK, EU
 
Nilimwona Mh Raisi Mstaafu Mkapa wakati Rais Kikwete anateremka jukwani chini kabisa, Mh Mkapa aliibuka na kumsalimia kwa mkono. Inaonekana alijificha mahali, hakukaa jukwaa kubwa. Kwangu inaleta maswali mengi. Hakupenda pengine kuonekana jukwaani lakini akaona ni vizuri walau Kikwete amwone! Huyu Karume sikumwona kabisa na wale yule Komandoo. Bila shaka wale wote wanaotegemea uraisi CCM walikuwepo- Mzee wa Mvi, Mzee wa mtoto wa Mkulima, Kijana wa kwenye miembe, na Mzee wa Fundi Mchundo Kilimo kutoka kule Mbulu, na Madevu Kijana Makeke wa Kiramba Ila huyu kijana wa Katibu wa ZAMANI WA CCM sikumwona.
 
Njoo Dodoma hotel nikupige offer kamanda huku tunashangilia ushindi....

Nakulipia nauli Kama uko mbali kuhusu kazi usijali situation iko under control...

ila kaka licha ya kuwa tunasherekea ushindi wa rasimu walah tumewachakachua,wacha sisi tule raha,
 
Njoo Dodoma hotel nikupige offer kamanda huku tunashangilia ushindi....

Nakulipia nauli Kama uko mbali kuhusu kazi usijali situation iko under control...

ila kaka licha ya kuwa tunasherekea ushindi wa rasimu walah tumewachakachua,wacha sisi tule raha,
 
Acha ushakunaku na ushambenga kiroboto msaga sumu Sumaye alikuwepo mwanzo mwisho...

Kuhusu mkapa na karume wamewakilishwa vyema wala kutokuwepo kwao hakumaanishi hawajaridhia....

mtalala nje kwa habari za kuokoteza mbulumundu wafitini nyie

ile shughuli ilikuwa ya kihistoria sikutegemea kiongozi wa kitaifa rais mstaafu awakilishwe na mtu! Hapa kuna ki2 acheni kujifanya mmeona ni jambo la kawaida. Mkapa kaona upuuzi wala hilo halina ubishi.
 
Mkapa nimemuna Kabia. ila hakuwepo kwenye high table. angalia Kikwete anaingia utamuona.

wewe yule sio mkapa ni jamaa tu hata mimi nilidhani ni mkapa tena kuna kipindi alikuwa anaongea na shibuda ila yule sio mkapa hata leo kwenye marudio ZBC nimemuangalia vizuri sio mkapa. Mkapa hawezi kuachakukaa high table. Mkapa hakuwepo.
 
Sherehe za Kukabidhi Katiba Inayopendekezwa siku ya jana pale Dodoma zilikosa watu muhimu (sio kisiasa ila kitaifa) watu hao ni pamoja na Dr.Salmin, Karume, Malim Seif, mama Karume (toka Zanzibar) Mkapa, Salim A.Salim, C.Msuya, Warioba, mama Maria Nyerere.

Ukawa, Prof.Lipumba, Mbatia, Mbowe.

Wenyeviti Jukwaa la Maaskofu, Shuraa ya Maimam-Ansar Sunna na wengine.

Mabalozi Uingereza, Ujerumani, Marekani.

Nini athari ya haya yote.

hapa hamna kitu na meseji iko so clear kwa mafisadi wote na rais wao,wameamua kutengeneza katiba ya ccm na kuibatiza ya taifa lakini hukumu iko juu mbinguni na sie tunawadai pesa yetu yote waliyojilipa kwa kazi ambayo hatukuwatuma
 
Mkapa alikuwepo na walipeana mkono na jk wakati jk akienda kupanda gari lake na kuondoka. Kama hukuangalia mpaka mwisho basi hata ukisema mkapa hakuwepo nisawa.

Mkapa alikuwepo.

Uwepo au kutokuwapo Mkapa kunahalalisha katiba haramu?
 
Nilimwona Mh Raisi Mstaafu Mkapa wakati Rais Kikwete anateremka jukwani chini kabisa, Mh Mkapa aliibuka na kumsalimia kwa mkono. Inaonekana alijificha mahali, hakukaa jukwaa kubwa. Kwangu inaleta maswali mengi. Hakupenda pengine kuonekana jukwaani lakini akaona ni vizuri walau Kikwete amwone! Huyu Karume sikumwona kabisa na wale yule Komandoo. Bila shaka wale wote wanaotegemea uraisi CCM walikuwepo- Mzee wa Mvi, Mzee wa mtoto wa Mkulima, Kijana wa kwenye miembe, na Mzee wa Fundi Mchundo Kilimo kutoka kule Mbulu, na Madevu Kijana Makeke wa Kiramba Ila huyu kijana wa Katibu wa ZAMANI WA CCM sikumwona.
usikute tunashindana na vipofu wa macho hapa mkapa na sumaye hawakuwepo
 
Acha ushakunaku na ushambenga kiroboto msaga sumu Sumaye alikuwepo mwanzo mwisho...

Kuhusu mkapa na karume wamewakilishwa vyema wala kutokuwepo kwao hakumaanishi hawajaridhia....

mtalala nje kwa habari za kuokoteza mbulumundu wafitini nyie

10.jpg


Hongera Kumbe na wewe ulialikwa
 
Sherehe za Kukabidhi Katiba Inayopendekezwa siku ya jana pale Dodoma zilikosa watu muhimu (sio kisiasa ila kitaifa) watu hao ni pamoja na Dr.Salmin, Karume, Malim Seif, mama Karume (toka Zanzibar) Mkapa, Salim A.Salim,
C.Msuya, Warioba, mama Maria Nyerere.

Ukawa, Prof.Lipumba, Mbatia, Mbowe.

Wenyeviti Jukwaa la Maaskofu, Shuraa ya Maimam-Ansar Sunna na wengine.

Mabalozi Uingereza, Ujerumani, Marekani.

Nini athari ya haya yote.

Hao walioacha hawataki kuungana na mafisadi na hii katina haitapita kwa wananchi
 
Mkapa na Karume ni kweli hawakuwapo, kwani Mkapa yupo nje ya nchi na Karume vilevile..Sumaye alikuwepo Mabalozi ndio usiseme kwani walijaa tele....Katiba ni yetu wananchi wewe unayeikataa ndiye fisadi tena fisadais

Mbona katiba imeandikwa na mafisadi ............. tena mzee wa visenti alikuwa mwandishi mkuu!!
 
Nilimwona Mh Raisi Mstaafu Mkapa wakati Rais Kikwete anateremka jukwani chini kabisa, Mh Mkapa aliibuka na kumsalimia kwa mkono. Inaonekana alijificha mahali, hakukaa jukwaa kubwa. Kwangu inaleta maswali mengi. Hakupenda pengine kuonekana jukwaani lakini akaona ni vizuri walau Kikwete amwone! Huyu Karume sikumwona kabisa na wale yule Komandoo. Bila shaka wale wote wanaotegemea uraisi CCM walikuwepo- Mzee wa Mvi, Mzee wa mtoto wa Mkulima, Kijana wa kwenye miembe, na Mzee wa Fundi Mchundo Kilimo kutoka kule Mbulu, na Madevu Kijana Makeke wa Kiramba Ila huyu kijana wa Katibu wa ZAMANI WA CCM sikumwona.

Samahani unamjua mkuu wa protoko ikulu.? na unajua ulichokiandika.
 
Back
Top Bottom