Marafiki wana msaada kuliko ndugu

Marafiki wana msaada kuliko ndugu

Uk
Kama na wewe huna mchango kwa ndugu yako yeyote mpaka sasa na wewe ni wale wale......

Ungekua unafikiria ungejua marafiki mnakutana katika mazingira ambayo mnaendana, hivyo hata michongo inakua kwenye pool ile ile.

Ndugu inategemea mna kiunganishi gani, mtu umesoma account una ndugu wapo health field unataka msaada gani hapo?

Punguza entitlement, KAMWE SIWEZI WEKA NDUGU NA RAFIKI KWENYE MZANI MMOJA, NAHESHIMU SANA NDUGU ZANGU, MARAFIKI NAENDA NAO KAMA WALIVYOKUJA SABABU DAMU NI DAMU TU INGAWA EXCEPTIONS HAZIKOSEKANI
Uko sahihi mtoa madam hajakosoa ndugu kuwa ni wabaya,kaongelea kutokana na uzoefu wake kwenye michongo na fursa,punguza mihemko mkuu!
 
Salaam,

Watu wengi ukiwauliza juu ya michongo yao/mafanikio yao, watakuambia walipewa connection/support na marafiki zaidi kuliko ndugu.

Hata post za kazi zikitoka, ni rahisi sana kuona sim za marafiki zikimiminika kukujuza bt ni nadra kuona sim za ndugu.

Mungu wabariki marafiki popote walipo duniani.
Naunga mkono aisee bila mungu kumleta yule mshikaji wangu ambae alikuwa msaada kwangu sijui ningekuwaje aisee kiukweli nilikuwa mie si kitu,stress na depression ila mwanangu from nowhere akanipa mchongo aisee mungu aendelee kumbless kwa sasa milioni kadhaa kwangu si ishu kabisa namshukuru mungu 🙏🙏🙏🙏
 
Mimi niko tofauti na wewe mkuu.kwangu ndugu wana msaada mkubwa kuliko the so called friends.
Nikikwama kiuchumi ndugu ndio huwa wananiinua,nikiumwa ndugu ndio huwa wanakua na ukaribu na mimi kuliko marafiki.
Marafiki wa kibongo wanasubiri kusikia habari zako mbaya tu.
 
Ndg kamwe siwezi mbeza pamoja na mapungufu yake mengi siwezi na siwezi kweli.
Moja ya vitu nilivyoona kwa mzee wangu ni kuishi na watoto wandugu zake.

Ikitokea umekufa na una watoto wadogo hakuna rafiki atakae wachukua watoto wako.
Bali watachukuliwa na ndg zako haijarishi watalelewa malezi mazuri au ya manyanyaso
yote hayo ni mapito yao ktk maisha.

Marafiki ni kweli tunasaidiana sana kwenye connection maana mara zote hatuogopani na pia hatuoneani kijicho
lkn kwenye shida kati ya marafi zako 10 unaweza baki na mmoja tu nae hataenda muda anakuacha.


Urafiki wa kweli kuwahi kutokea ni wa Daudi na Jonathani Mtoto wa mfalme sauli huu ndo nilishuhudia urafiki mzuri na mtamu kuwahi kutokea.
Wengi mnageneralize coz mnaenda nje ya kilichokusudiwa, ukibaki kwenye muktadha wa utafutaji na michongo ya kazi ni rahisi kunielewa.
 
Wewe ulishalikoroga huko umeanza lawama.

Hao wanaoitwa amarafiki ni bado tu hawajaonja joto lako la jiwe.

Mnaharibu mahusiano kwenye familia zenu wenyewe baadae mnaanza kulalamika wanapowaacha na ujeuri wenu.
Kutambua mchango wa marafiki kwenye mambo ya utafutaji na michongo ya kazi haimanishi sina mahusiano mazuri na ndugu, ni vile tu umeamua kugenerelize mambo.
 
Kama na wewe huna mchango kwa ndugu yako yeyote mpaka sasa na wewe ni wale wale......

Ungekua unafikiria ungejua marafiki mnakutana katika mazingira ambayo mnaendana, hivyo hata michongo inakua kwenye pool ile ile.

Ndugu inategemea mna kiunganishi gani, mtu umesoma account una ndugu wapo health field unataka msaada gani hapo?

Punguza entitlement, KAMWE SIWEZI WEKA NDUGU NA RAFIKI KWENYE MZANI MMOJA, NAHESHIMU SANA NDUGU ZANGU, MARAFIKI NAENDA NAO KAMA WALIVYOKUJA SABABU DAMU NI DAMU TU INGAWA EXCEPTIONS HAZIKOSEKANI
Mada inajieleza imejikita kwenye utaftaji na michongo ya kazi bt wewe umechagua kugenerelize.
 
Kuna ukweli flani, nahisi ndugu ila ata rafiki mliokua sehemu moja wote ni vichomi coz ukipga hatua kumzidi wanakunja ila watu unaokutana nao kwenye utafutaji ni nadra kukunja mana hakujui vzuri

Kuna yale mashangazi na majomba ya ovyo yanayochukia utoboe kuliko matoto yao mavuta bangi na madangaji. Yani yamefeli malezi yenyewe chuki kwako! Ndo mana inatakiwa tuwe wasiri sana.
 
Wewe ulishalikoroga huko umeanza lawama.

Hao wanaoitwa amarafiki ni bado tu hawajaonja joto lako la jiwe.

Mnaharibu mahusiano kwenye familia zenu wenyewe baadae mnaanza kulalamika wanapowaacha na ujeuri wenu.
Kutambua mchango wa marafiki kwenye mambo ya utafutaji na michongo ya kazi haimanishi sina mahusiano mazuri na ndugu, ni vile tu umeamua kugenerelize mambo.
 
Back
Top Bottom