Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,418
- 60,827
Huyo rafiki alikupa kazi baada ya wewe kumaliza CBE. Je kazi hiyo ungeipata bila hiyo elimu eti kwa sababu tu ni rafiki yako? Think again uache lawama.Uko sahihi mkuu,mfano Mimi mjomba wangu alitaka nimsaidie biashara zake,kweli tumeenda miaka4 siioni Faida kwangu,mbali tuu na kupata uzoefu na kula.Nikajiongeza kusoma C.B.E _Dodoma huko nikakutana na jamaa anafanya kazi kampuni flani nzuri Katika kuzoeana akawa rafiki yangu mkubwa!Kazi zikatoka wa kwanza kunitafuta ilikuwa Mimi Ahsante rafiki,Sasa Nina wajukuu.