Marafiki wa wapenzi/wenzi!

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,801
59,274
Kwanza nimejaribu kufikiria kati ya wanawake na wanaume ni wapi hua wanaongoza kwa kukaribisha/weka mazingira ya ukaribu kati ya wenzi wao na marafiki zao bila kupata jibu la moja kwa moja.Nadhani inatofautiana kati ya mtu na mtu maana binafsi sio mtambulishaji mzuri hata kidogo...achalia mbali kuweka/tengeneza mazingira ya ukaribu ila ni mtambulishwaji mzuri na baadhi ya nliotambulishwa kwao tumetokea kua marafiki wazuri sana hivyo tupo karibu!!Na kuna wanaume kutambulisha wapenzi wao mpaka kwa ugomvi!

To the point....mara nyingi wanawake (sio wote..baadhi) ndo hua tunasemwa tukiruhusiwa kua karibu na waume/wapenzi wa marafiki zetu maneno hua mengi mpaka kuwaharibia wenzetu ili tuchukue nafasi zao au kuona tu wakikosa.....sijui kama ndivyo ilivyo kwa wanaume pia!! Hii hua inaendana na ule msemo wa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe ambao nao una kaukweli ndani yake.

Nwy binafsi sijawahi kukutwa na hili 'first hand' kwahiyo naomba kuuliza je ''SAFE DISTANCE'' kati ya rafiki na mpenzi/mwenzi wa rafiki inatakiwa iweje??Kila mmoja ana namba ya mwenzake?Wanaweza kukutana hata kama wewe haupo? (hapa tuseme mwenzako anaishi mji mwingine na rafiki hiyo kaenda kutembelea mji huo) .Kujua mambo yenu kwa mf. mkigombana...patana..furahishana??Kujuana mpaka makazi?Kutambulishana kwa marafiki zao??
 
Kwanza nimejaribu kufikiria kati ya wanawake na wanaume ni wapi hua wanaongoza kwa kukaribisha/weka mazingira ya ukaribu kati ya wenzi wao na marafiki zao bila kupata jibu la moja kwa moja.Nadhani inatofautiana kati ya mtu na mtu maana binafsi sio mtambulishaji mzuri hata kidogo...achalia mbali kuweka/tengeneza mazingira ya ukaribu ila ni mtambulishwaji mzuri na baadhi ya nliotambulishwa kwao tumetokea kua marafiki wazuri sana hivyo tupo karibu!!Na kuna wanaume kutambulisha wapenzi wao mpaka kwa ugomvi!

To the point....mara nyingi wanawake (sio wote..baadhi) ndo hua tunasemwa tukiruhusiwa kua karibu na waume/wapenzi wa marafiki zetu maneno hua mengi mpaka kuwaharibia wenzetu ili tuchukue nafasi zao au kuona tu wakikosa.....sijui kama ndivyo ilivyo kwa wanaume pia!! Hii hua inaendana na ule msemo wa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe ambao nao una kaukweli ndani yake.

Nwy binafsi sijawahi kukutwa na hili 'first hand' kwahiyo naomba kuuliza je ''SAFE DISTANCE'' kati ya rafiki na mpenzi/mwenzi wa rafiki inatakiwa iweje??Kila mmoja ana namba ya mwenzake?Wanaweza kukutana hata kama wewe haupo? (hapa tuseme mwenzako anaishi mji mwingine na rafiki hiyo kaenda kutembelea mji huo) .Kujua mambo yenu kwa mf. mkigombana...patana..furahishana??Kujuana mpaka makazi?Kutambulishana kwa marafiki zao??
This part sijui kama unafikiria nachofikiria mimi ila usiniulize nichofikiria mimi ni kitu gani lol
 
Kwanza nimejaribu kufikiria kati ya wanawake na wanaume ni wapi hua wanaongoza kwa kukaribisha/weka mazingira ya ukaribu kati ya wenzi wao na marafiki zao bila kupata jibu la moja kwa moja.Nadhani inatofautiana kati ya mtu na mtu maana binafsi sio mtambulishaji mzuri hata kidogo...achalia mbali kuweka/tengeneza mazingira ya ukaribu ila ni mtambulishwaji mzuri na baadhi ya nliotambulishwa kwao tumetokea kua marafiki wazuri sana hivyo tupo karibu!!Na kuna wanaume kutambulisha wapenzi wao mpaka kwa ugomvi!

To the point....mara nyingi wanawake (sio wote..baadhi) ndo hua tunasemwa tukiruhusiwa kua karibu na waume/wapenzi wa marafiki zetu maneno hua mengi mpaka kuwaharibia wenzetu ili tuchukue nafasi zao au kuona tu wakikosa.....sijui kama ndivyo ilivyo kwa wanaume pia!! Hii hua inaendana na ule msemo wa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe ambao nao una kaukweli ndani yake.

Nwy binafsi sijawahi kukutwa na hili 'first hand' kwahiyo naomba kuuliza je ''SAFE DISTANCE'' kati ya rafiki na mpenzi/mwenzi wa rafiki inatakiwa iweje??Kila mmoja ana namba ya mwenzake?Wanaweza kukutana hata kama wewe haupo? (hapa tuseme mwenzako anaishi mji mwingine na rafiki hiyo kaenda kutembelea mji huo) .Kujua mambo yenu kwa mf. mkigombana...patana..furahishana??Kujuana mpaka makazi?Kutambulishana kwa marafiki zao??
Ukweli mtupu hapo lizzy
 
This part sijui kama unafikiria nachofikiria mimi ila usiniulize nichofikiria mimi ni kitu gani lol

Hahahahhah....usiwe hivyo bwana.....I'm DIFFERENT and on top of that i'm SPECIAL kwahiyo hamna tatizo kipande hii!!!
 
yaani wajiamulie tu kukutana mie nikiwa cna taarifa yoyote? hapana!..halafu mambo ya ndani kuyamwaga kwa marafiki nayo sio ishu, nina frnds wengi wengi but ukiniuliza wa karibu sana ninaoweza kuwaambia shida/matataizo yangu ni wawili tu, tena hapo bado napimia cjui ni uaminifu cna wa kutosha cjui najihc wala cjui, lakini hao ma frnds zangu hata awe na shida ya namna za majumbani kwao wao wa kwanza kunipa black/white, mie cjui nipoje, na share nao but najua kabisa siingii in deep, mtu ninaeweza kumweleza kila kila kitu changu ni dada yangu mpenzi..wana no za mr nina no za mr wao but huwa kama kuna shida ya kusaidiana mahali nitamcal frnd kwanza then nimeambie nina hiki na hiki nadhani mr wako ataweza kunisaidia then ndio aniunganishe sasa, sio kukurupuka tu na sio ustaarabu kabisa.
 
Kuna vitu ambavyo kama hujavipitia utu uzima unakuwa haujakamilika.

Kujengeana ukaribu ni nature ya binadamu. Na lengo ni kufahamiana na kubadilishana mawazo mbalimbali tunayopitia ktk maisha yetu.
Ni kitu ambacho ni vigumu kukiepuka. Ukijaribu kuweka SAFE DISTANCE yoyote unaweza ukaonekana mbinafsi, mchoyo na pengine utafikiriwa hata mabaya kama vile unaficha uhalifu fulani au una usiri fulani mbaya unaogopa utagundulika ukijichanganya na jamii.

Ambacho nakiona hapa ni kwamba, kupitia njia hizi za kubadilishana mawazo na kufahamiana kwa wema ndio zinazotumika kupenyeza hata vishawishi vya mahusiano ya ziada. Hapa ndio unapoanzia ugumu wa kuzuia hali hii . . . .
Sijui kama nimechangia sawa sawia kama kwa jinsi nilivyoelewa presentation yako . . .
 
nyamayao.......inakuwaga ngumu kwa kweli unaanzaje tu kwa mr wa friend wako kumzoea kikaribu? Na anachokisema Lizzy ni kweli kabisa kuwa mara nyingi wanaokuuma na kukuchoma mgongoni ni mafriend wako!
 
nyamayao.......inakuwaga ngumu kwa kweli unaanzaje tu kwa mr wa friend wako kumzoea kikaribu? Na anachokisema Lizzy ni kweli kabisa kuwa mara nyingi wanaokuuma na kukuchoma mgongoni ni mafriend wako!

ni ngumu sana aisee, na kawaida yetu wanawake ni wanafiki, mie najielezaa kwako weee we una yako mengine una plan, ni ngumu sana kwa cc wanawake kuwa na rafiki wa hali na mali, japo kwa hilo nashukuru hawa wawili tupo sawa kabisa mpaka sasa.
 
mmh mama alinifundisha lako la moyoni ukimwambia mtu tu tayari shetani anaingilia kati na kuharibu,mipango yako yyte mshirikishe Mungu tu
Back to topic marafiki sawa hawakatazwi but to me hell NO,nilishakuwa na rafiki zaidi ya ndugu na nilisemwa sana na mama kutojenga mazingira ya kumuweka karibu na jamaa lkn matokeo yake,kikulacho ki nguoni mwako,nina marafiki wengi mno lakini lakini wao nina mda nao tofauti kabisa na jamaa,sitaki wamzoee wala wawe na mawasiliano yyte but hapa kwenye marafiki pia wanatofautiana,mfano nina dada zangu kama 5-6 hivi (wadada wa kitaa/kazini/kanisani)hawa sawa ni zaidi ya washauri kwangu wanafamilia zao na ni wapendwa wenzangu hawa sina wasiwasi nao zoooo pia hutakiwi kuwawekea asilimia 100,or in or a man is still a man you snt have to change him but train him in a correct direction and he will adore you for the rest of ur life.Matatizo ya ndani hayapaswi kutolea nje tena kwa marafiki wala ndugu,anaweza kuwa mtu wako wa kaibu tena mmoja au wawili tu!tujifunze kumalizana sisi wenyewe humo humo ndani.
 
yaani wajiamulie tu kukutana mie nikiwa cna taarifa yoyote? hapana!..halafu mambo ya ndani kuyamwaga kwa marafiki nayo sio ishu, nina frnds wengi wengi but ukiniuliza wa karibu sana ninaoweza kuwaambia shida/matataizo yangu ni wawili tu, tena hapo bado napimia cjui ni uaminifu cna wa kutosha cjui najihc wala cjui, lakini hao ma frnds zangu hata awe na shida ya namna za majumbani kwao wao wa kwanza kunipa black/white, mie cjui nipoje, na share nao but najua kabisa siingii in deep, mtu ninaeweza kumweleza kila kila kitu changu ni dada yangu mpenzi..wana no za mr nina no za mr wao but huwa kama kuna shida ya kusaidiana mahali nitamcal frnd kwanza then nimeambie nina hiki na hiki nadhani mr wako ataweza kunisaidia then ndio aniunganishe sasa, sio kukurupuka tu na sio ustaarabu kabisa.

Ahhh kuna wakurupukaji wazuri wewe.....unashtukia tu mwenzako anakwambia ''alafu rafiki yako fulani nshamtatulia shida yake!!Kafurahi kweli''

Umejiwekea mpangilio mzuri kweli....wale watoa siri za ndani kwao hua wananiboa kweli.Na hiyo hua inachangia marafiki kutaka kuexperience unayosema first hand kama unaongea tu bila nukta!!!
 
Speaking from experience au yakusikia?
From experience, halafu tena wale wanaoanza "I just love the way you dress, you really smell nice i mean you are so cool when can i visit you i would love to know where you are staying, sorry i forgot to ask you your number" akirudi mwenyewe binti anajikausha kama muhogo utafikiri sio yeye vile
 
Hahahahhah....usiwe hivyo bwana.....I'm DIFFERENT and on top of that i'm SPECIAL kwahiyo hamna tatizo kipande hii!!!
Lizzy i love that phrase, be reminded that leo W anachukuliwa and he will spend all this week at my place deal?
 
Kuna vitu ambavyo kama hujavipitia utu uzima unakuwa haujakamilika.

Kujengeana ukaribu ni nature ya binadamu. Na lengo ni kufahamiana na kubadilishana mawazo mbalimbali tunayopitia ktk maisha yetu.
Ni kitu ambacho ni vigumu kukiepuka. Ukijaribu kuweka SAFE DISTANCE yoyote unaweza ukaonekana mbinafsi, mchoyo na pengine utafikiriwa hata mabaya kama vile unaficha uhalifu fulani au una usiri fulani mbaya unaogopa utagundulika ukijichanganya na jamii.

Ambacho nakiona hapa ni kwamba, kupitia njia hizi za kubadilishana mawazo na kufahamiana kwa wema ndio zinazotumika kupenyeza hata vishawishi vya mahusiano ya ziada. Hapa ndio unapoanzia ugumu wa kuzuia hali hii . . . .
Sijui kama nimechangia sawa sawia kama kwa jinsi nilivyoelewa presentation yako . . .

Ahhhh the long lost husband!!

Unayosema kuhusu kutengeneza ukaribu kwa nia ya kufahamiana ni sawa kabisa....tatizo ni kwamba kuna watu hua wanautumia huo ukaribu vibaya kwahiyo inabidi kuwe na njia ya kujiepusha na hayo ''MABAYA''.
 
mimi mwanamke akipeleka mambo yetu ya ndani kwa shosti wake
naweza mpa talaka mara moja.....

kingine i hate most.......
unarudi kazini umechoka.....unakuta nyumba imejaaa watu.....
i really hate this........

unakuta watu wanaangalia filam ya kinegeria hivi au wamejiachia kwenye makochi
na story za umbea......arghhhhhh

mimi nataka nikirudi home nikute honey yupo peke yake
ananukia hivi,msaaafi....nguo nyepesi.....na juice baridi inanisubiri......

get it women....
 
Lizzy let me be blunt with you ( and no offence intended kwa wanaume wenzangu),umezungumzia distance,fine,ngoja nikwambie,mwanaume yeyote,yeyote hapa i mean any man awe workmate,shemeji,jirani,relative,business partner etc ,ukimjengea mazingira ya kuzoeana kupita kiasi (mambo ya distance hayo) ATAKULALA TU,period!
 
Lizzy i love that phrase, be reminded that leo W anachukuliwa and he will spend all this week at my place deal?
Sasa where my LIKE n Thanks at...???Mhhh mbona nlikua sijajua??Ngoja nimpakie vikorokoro vyake....mkisumbuana huko naomba msinihusishe!!

From experience, halafu tena wale wanaoanza "I just love the way you dress, you really smell nice i mean you are so cool when can i visit you i would love to know where you are staying, sorry i forgot to ask you your number" akirudi mwenyewe binti anajikausha kama muhogo utafikiri sio yeye vile

Hahahahha....kuna watu wana tabia mbaya!!Kumbe ndivyo wanavyoanzaga ehhhh???Ingekua mimi mupenzi akirudi namwambia ''Darling rafikiyo anataka kujua nnapoishi na namba yangu ya simu....utampatia ehhhh?'' Sijui hapo aibu ingemshika kiasi gani!
 
Lizzy let me be blunt with you ( and no offence intended kwa wanaume wenzangu),umezungumzia distance,fine,ngoja nikwambie,mwanaume yeyote,yeyote hapa i mean any man awe workmate,shemeji,jirani,relative,business partner etc ,ukimjengea mazingira ya kuzoeana kupita kiasi (mambo ya distance hayo) ATAKULALA TU,period!
Hahaha lol!!!
 
mimi mwanamke akipeleka mambo yetu ya ndani kwa shosti wake
naweza mpa talaka mara moja.....

kingine i hate most.......
unarudi kazini umechoka.....unakuta nyumba imejaaa watu.....
i really hate this........

unakuta watu wanaangalia filam ya kinegeria hivi au wamejiachia kwenye makochi
na story za umbea......arghhhhhh

mimi nataka nikirudi home nikute honey yupo peke yake
ananukia hivi,msaaafi....nguo nyepesi.....na juice baridi inanisubiri......

get it women....

Watu wanajaa ndani bila hata taarifa..kweli sio fresh!!!Ila sasa na wewe hua huleti washkaji kuangalia mpira???
 
au wanawake wa kiswahili unakuta

badala ya yeye kukueleza shida yake..
anamtumia rafiki yake......

mimi huwa natoa talaka right away............
 
Back
Top Bottom