The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Rafiki yako alikuwa muungwana sana wengine wanakula buyu tu next time wanakutana tena mamabo yanaanza kudevelop the next thing you know ni kuanza kusikia stori mbona rafiki yako tunamuona na mumeo sana vipi kulikoni mwanamke unaanza kuhahalabda mie nina hofu pia, yaani niwe nae tu bila kukujulisha nadhani nitakata network hata tulichokutania na huyo mpenzi wako ntakisahau, ntakuwa na amani zaidi nikiwa najua unajau...mf ni kama cku moja frnd wangu alikuwa na ishu fulani na mr, na ni mtu anaemtegemea kumsaidia kutatua hiyo ishu, alinical kunieleza na kwa bahati nzuri mr alikuwa anaenda arusha/moshi kikazi, walikutana na walopokuwa wamekutana tu frnd wangu alisahnitumia sms nipo na shemeji hapa kindoroko ndio tunaanza maongezi, hapo mr yeye alikuja kuniambia maucku huko ameshalala kwamba nilikuwa na Lizzy kwenye ile ishu yake niliyoomba nimsaidie, nimemsaidia hivi na vile, unaona utofauti hapo Lizzy, mwanaume alichukulia ni maongezi na najua kutakuwa na maongezi hana haja ya kuniambia ndio naenda kuonana na fulani, but frnd aliona ni lazima kunijulisha kila point, tunaanza/tumemaliza/tumeshatawanyika....