Baraka Roman
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 692
- 262
Embu tujikumbushe kidogo kila mtu aseme mara ya mwisho alipigana lini na chanzo cha ugomvi kilikuwa nin?
Mie mara ya mwisho nimepigana 1997 nilivyokuwa std 2.Chanzo cha ugomvi jamaa (alinikata,alinipiga mtama wakat tunacheza mpira) tulitoka ngoma dro coz watu waliamulia.Wewe je?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mie mara ya mwisho nimepigana 1997 nilivyokuwa std 2.Chanzo cha ugomvi jamaa (alinikata,alinipiga mtama wakat tunacheza mpira) tulitoka ngoma dro coz watu waliamulia.Wewe je?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums