Point of correction,
SIo chuki binafsi, ila ni chuki ya kuibiwa haki zetu waziwazi, yaani chuki ya kutangaziwa raisi aliyeshindwa uchaguzi (kikwete) badala ya aliyeshinda (DR. (PHD) Slaa), ni chuki ya jinsi raisi aliyeiba kura anavyoshindwa kuiendesha nchi hali inayosababisha maisha kuwa magumu, ni chuki ya kuona asilimia kubwa ya ndugu zetu wakiishi kwa mlo mmoja wa kubahatisha huku wengine wakifa kwa njaa, ni chuki ya kuona asilimia kubwa ya ndugu zetu wanashindwa kununua hata nguo kwa ajili ya kujisitiri achilia mbali kuwapeleka watoto wao shule, huku wao wachache walioamua kuibaka nchi wakiwasomesha watoto wao kwa gharama kubwa katika nchi za watu japo hawana akili.
ni chuki ya kuona kwamba raisi aliyejitangazia ushindi, amewapa nchi wahindi 2 na mmasai mmoja (RA, Manji & Low-hasa)
Ni chuki ya kuona gharama za maisha zinapanda huku pato la mtanzania likiwa palepale, zaidi makato ya kodi yanaongezeka ili kukipunguza kipato kile kidogo unachopata.