Mara paaaa unamuona mama yako hapo

Mara paaaa unamuona mama yako hapo

Mama yangu hawezi kufanya huo upumbavu.
Lakini ndio mfano imetokea basi siku hiyo atanipa laana, nitamtandika, chalaza sana mikwaju, akili imkae sawa.😄🤣
Kwa maneno haya ni kama uneshamtandika tayari l, unaowaona hapo kuna wakubwa kuzidi umri wa mama yako. Kiasili uneshafanya kosa kubwa la kumtandika mama yako. Pole sana. Nenda kamuombe msamaha yaishe
 
Utashangaa nini sasa ukimuona? Hapo itabidi uongeze jitihada kufanya kazi ili umkomboe maza,maana kufanya ujinga kama huo ni symbol of poverty........
Umasikini mbaya njaa mbaya
 
Kwa maneno haya ni kama uneshamtandika tayari l, unaowaona hapo kuna wakubwa kuzidi umri wa mama yako. Kiasili uneshafanya kosa kubwa la kumtandika mama yako. Pole sana. Nenda kamuombe msamaha yaishe
Mwendokasi
 
Kwenye pita pita zako mtandaoni unakutana na hii picha, unapo-zoom na kutazama vizuri unamuona bi mkubwa naye yupo hapo chini.
View attachment 3484101
Utafanya nini mkuu? 😃 comment ziwe fupi fupi
Huna kitu utaweza fanya kwasababu nilazima utakuwa ni sehemu ya wanufaika wa hicho anachokifanya .

Unakuta umesomeshwa kupitia huko kujimania manua kwake hicho kiburi chakumuongelesha utakitoa wapi?

Wacha ma Bimkubwa wajimanue manue hapo ili madogo wakale (sad indeed)
 
Huna kitu utaweza fanya kwasababu nilazima utakuwa ni sehemu ya wanufaika wa hicho anachokifanya .

Unakuta umesomeshwa kupitia huko kujimania manua kwake hicho kiburi chakumuongelesha utakitoa wapi?

Wacha ma Bimkubwa wajimanue manue hapo ili madogo wakale (sad indeed)
Ni kweli ila roho lazma iume
 
Ni kweli ila roho lazma iume
mkuu huwezi kuumia roho kama umekulia kwenye huo mfumo na zaidi ndiyo utakomaa kumuombea ili aonekane ,pengine anaweza kuja kuupata hata wa viti maalumu 🤣🤣
 
mkuu huwezi kuumia roho kama umekulia kwenye huo mfumo na zaidi ndiyo utakomaa kumuombea ili aonekane ,pengine anaweza kuja kuupata hata wa viti maalumu 🤣🤣
Noma sana
 
Hilo kundi linaonekana lilipewa posho nzuri maana hiyo kazi ya kumlaani huyo kiongozi wanae mlaani hapo chini sio kazi ndogo
 
Hilo kundi linaonekana lilipewa posho nzuri maana hiyo kazi ya kumlaani huyo kiongozi wanae mlaani hapo chini sio kazi ndogo
Na mafua juu 😔 vifua vikuu vinakuja hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom