TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,762
- 21,232
Mbona kama unatapatapa kijana wangu na watu wa kanda maalum unawajua au unawafaham?Mkoa wa mara umeteswa sana na Chadema sasa basi
Mbona kama unatapatapa kijana wangu na watu wa kanda maalum unawajua au unawafaham?Mkoa wa mara umeteswa sana na Chadema sasa basi
Jimbo la bunda vijijini miaka yote liko na ccm lina nini cha ziada? Jimbo hata barabara moja ya lami halinaMkoa wa mara umeteswa sana na Chadema sasa basi
Boniface getere wa bunda vijijini ni mpinzani?Sasa mnapigia wapinzani mnategemea wawaletee maendeleo kaeni na ujinga wenyu mtakoma. Waliokwishashtuka wamempigia buldozer hata kama hulipendi ila ndo lenye funguo za maendeleo yako.
Wakimuibia kura ataingia kupitia viti maalumu lakini lazima bungeni aingieNasikia Bunda huko Bulaya asipokuwa makini ataukosa ushindi.
Nimeipenda hiiSasa mnapigia wapinzani mnategemea wawaletee maendeleo kaeni na ujinga wenyu mtakoma. Waliokwishashtuka wamempigia buldozer hata kama hulipendi ila ndo lenye funguo za maendeleo yako
Bro ulishawahi fika Kishapu, kongwa, Mtera?? Halafu ulishafika Moshi mjini??funguo za maendeleo yako
Miaka ya Nyuma nilipata kutembelea Wilaya za Dodoma aisee sikuwahi kufahamu kama kuna ndugu zetu wa Tz wanaishi kwa shida vile.Dodoma kuna maendeleo ?
Ikulu ipo chamwino, unapita pale buigiri.Miaka ya Nyuma nilipata kutembelea Wilaya za Dodoma aisee sikuwahi kufahamu kama kuna ndugu zetu wa Tz wanaishi kwa shida vile.
Kwa waliopata kwenda Mtera, Kongwa, Bahi, Kondoa, Chamwino, Buigiri
Aisee hali ni mbaya sana..!! Ukizingatia hawajawahi kuisaliti CCM..
I will be back next yearJanuary nitaenda tena Dom, nasikia Magu amefanya mambo makubwa sasa sijui kama hayo maeneo niliyotaja megusa