MARA: Baba ampa mimba mtoto wake, abaka wengine wawili

MARA: Baba ampa mimba mtoto wake, abaka wengine wawili

Maza boya sana
Bora wewe unayesema ungekuwa ndo huyo mama, usingemsamehe huyo bazazi lakini mimi ningekuwa kwenye mamlaka, ningemtia ndani na huyo mama akakae angalau kwa wiki moja ili atie adabu.

Yaani seriously anakiri kwamba huyo mumewe ilikuwa ndo mchezo wake na amekuwa akifanya hhivyo kwa muda mrefu na ameshawahi kumkuta redhanded!!

Hapo inaonesha hiyo mimba ndo imebumburua kila kitu halafu sasa ajifanye kuiomba serikali imchukulie hatua kali! Watoto watatu, wote wadogo anawagonga, hivi inawezekana wote hawakuwa wanamwambia let alone siku alipomfumania!!!

Hata huyo Jesus aliyesema samehe 7x70 kama kweli alisema, I believe wala hakumaanisha kwa mambo ya kishenzi kama haya.
 
mimi huwa nakataa kwa akili ya kawaida lazima kuwe na external force applied on it...
si rahisi kama tunavyofikiri
 
Hawa si ndio huwa mnawaitaga mabaharia?

Baharia limelawiti binti yake kimasihara! Hongera sana.

Arooo... yaani unaweka bolo kabisa kwa katoto kadogo ulichozaa mwenyewe! Kum*a*ny*ko!
 
Asilimia kubwa ya watu wapumbavu duniani ni wanaume.
Eeeh !!!
104293240_2660291544246489_3854836966241814309_n.jpeg
 
...huyo mke n mpumbav yani unakuta mume limemlalia mtoto wake ambaye n wako eti anasamehe kisa mtu wa dini WTF!!! hii midini ya kizungu n kiarabu inafanya miafrika kuwa mijinga zaid.....
 
Kama ni Mara mbona haishangazi kabisa

Huko matukio hayo ya Ubakaji, ya kukatana mapanga na Ukeketaji ni jadi yao.
 
Wazazi, kabla hujaruhusu Binti yako aolewe, hakikisha akili ya mkweo (mume wa Binti yako ina utu au ubinadamu).

Sidhani kama kuna mzazi atafurahi kuona wajukuu zake wanaishi maisha ya unyanyasaji wa kijinsia.

I hate gender violence to both parts, men and women.

Kasie Platinumz.
Kasie who??
Back to topic .huyu baba ni mbuzi
 
Hii mbaya sana aisee..akili za ajabu kabisa hizi! Huyu hata kumfunga haisadii..huyu ni kugonga pumb.u zake kwa nyundo na kuzisaga kisha anaingiziwa spoku kwenye tundu ya dhakari yake!
Hii Kazi unaweza kuifanya?
 
Huyu father anakipara kama gamba la kobe, angepitilizwa jela tu ili hukumu imkutie huko huko.
 
Hii mbaya sana aisee..akili za ajabu kabisa hizi! Huyu hata kumfunga haisadii..huyu ni kugonga pumb.u zake kwa nyundo na kuzisaga kisha anaingiziwa spoku kwenye tundu ya dhakari yake!
Ukimfanyia hivyo anakufa, hivyo hawezi 'kufaidi' adhabu.

Tulishashauri kwenye visa kama hivi, wahasiwe tu.

Maana ukiisha mhasi hata umpe mtoto akulelee, mwanao utamkuta salama
 
Ukimfanyia hivyo anakufa, hivyo hawezi 'kufaidi' adhabu.

Tulishashauri kwenye visa kama hivi, wahasiwe tu.

Maana ukiisha mhasi hata umpe mtoto akulelee, mwanao utamkuta salama
Ukimhasi anageuka shoga! Yaani ni muendelezo wa kutukwaza!
 
Back
Top Bottom