wengine wamehukiwa juzi kunyongwa hawa bado wanamkinga muuaji asionekane? Hayo si sehemu ya majukumu ya Askari shupavu , wazalendo na wanaojua kazi zao. Askari makini na shujaa anatambua wajibu wake yuko tayari kumkamata hata bosi wake pindi akiwa na ushahidi wa ukiukwaji anaoufanya je si zaidi kwa huyu muuaji?
Hahahahah wrong book in a right cover.... huna uzoefu wa muvi za bongo huenda ikawa anaeletwa pale siye