msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
Nukta haziungani hapa! Mama kupewa ujauzito na Salum na kuachwa. Kisha anapata mpenzi mwingine, Abdul. Anasiyemulia kisa ni MDOGO wa Nasibu (wa baba mmoja). Ina maana mama alirudi tena kwa Bw. Salum na kupata ujauzito wa huyo mdogo? Au nijihesabu na mimi ni miongoni mwa wale wagumu kuelewa?
Kwa kawaida sipendi kufuatilia habari za namna hii lakini nimelazimika kutoa maoni yangu ili hili liwekwe sawa na ndipo "majaji" watoe hukumu ya haki.
Hata hivyo, huyo baba mlezi kama ni kweli alilea ujauzito na baadaye mtoto, ana haki ya kuitwa baba. Jamani, kuzaa sio kazi, kazi kulea mwana!
acha kua kchwa maj wewe,huyo n mdogo wa diamond kwa baba m1 mama ndo mbal mbal,hujaelewa nin xaxa.?