Mapya ya ‘awamu ya sita’!

Mapya ya ‘awamu ya sita’!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,076
Reaction score
136,464
Hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣. And he was the idiot of all idiots.
 
Sema kwa Polepole alitakiwa kutoa tamko tu la kuridhia ombi lake la kujiuzulu! Na kama asingetoa tamko la kumkubalia, basi angetoa tamko la kumuondolea hadhi yake ya ubalozi kama angeona anafaidi sana.

Na siyo kumfukuza kazi mtu ambaye alishaandika kitambo barua iliyosambaa kwenye mitandao, ya kujiondoa kwenye hiyo nafasi yake.
 
Sema kwa Polepole alitakiwa kutoa tamko tu la kuridhia ombi lake la kujiuzulu! Na kama asingetoa tamko la kumkubalia, basi angetoa tamko la kumuondolea hadhi yake ya ubalozi kama angeona anafaidi sana.

Na siyo kumfukiza kazi mtu ambaye alishaandika barua iliyosambaa kwenye mitandao, ya kujiomdoa kwenye nafasi yake.
Yaani hata common sense tu hakuna! Kilichopo ni mihemko tu.
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Thread itamliza Look us mwash wa mbwa
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Mimi nikikaa na kufikiri huyu Rais akili kisoda huwa anakwenda kwenye Mikutano ya Kikanda na kukaa meza moja na miamba kama Kaguta, Kagame, Ruto, Hichelema na Ramaphosa naishiwa nguvu; nchi hii tumegeuka kuwa kituko hakika. Tunakubali vipi kuongozwa na hii 🚮🚮🚮🚮 ?
 
Pia
Sema kwa Polepole alitakiwa kutoa tamko tu la kuridhia ombi lake la kujiuzulu! Na kama asingetoa tamko la kumkubalia, basi angetoa tamko la kumuondolea hadhi yake ya ubalozi kama angeona anafaidi sana.

Na siyo kumfukuza kazi mtu ambaye alishaandika kitambo barua iliyosambaa kwenye mitandao, ya kujiondoa kwenye hiyo nafasi yake.
Pia hakutakiwa kuridhia, akitakiwa kumvua hadhi ya kibalozo tu as yeye hakuandika barua ya kuona kuomba kuacha kazi bali aliacha kazi
 
Sema kwa Polepole alitakiwa kutoa tamko tu la kuridhia ombi lake la kujiuzulu! Na kama asingetoa tamko la kumkubalia, basi angetoa tamko la kumuondolea hadhi yake ya ubalozi kama angeona anafaidi sana.

Na siyo kumfukuza kazi mtu ambaye alishaandika kitambo barua iliyosambaa kwenye mitandao, ya kujiondoa kwenye hiyo nafasi yake.
Huu uzi unaonesha kuwa wewe ni kiazi hujui nini maana ya ukuaji wa uchumi
Hajui tofauti ya ubalozi na hadhi ya ubalozi

USSR
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Wasaliti wa kwanza wa Tanzania ni wanasiasa. Tulifanya kosa kubwa sana kuingiza siasa kwenye utumishi wa umma.
 
Back
Top Bottom