Mapya DAWASCO: Mzalendo aliyeibua wizi wa maji wa bil.2 atimuliwa kazi

Status
Not open for further replies.
Kama una hoja za msingi kuhusu ufisadi wa huyu mtu kwa nini ujifiche humu jamvini? Kwa nini usichukue hatua madhubuti kwenda PCCB na kuwapatia vielelezo vya ufisadi unaoongelea. Vinginevyo, hapa unaonekana ni mlevi tu anayepita mtaani huku akiimba nyimbo au ni porojo za vijiwe vya kahawa.
 
Jamanii eeeeee
Huku Strabag wamelipa Deni lote. Sasa maskini aliowatoa kafara kwa issue ya Strabag sijui anawatazama vp. Kama Strabag wamelipa deni inamaana walikubali kosa, Sasa huyu dada kushirikiana nao waziweke wazi basiii
Hicho kituo cha Magomeni waliongoza makusanyoo haijawahi tokea Ila ni NGUVU YA huyo Dada Kukomalia msimamo wake baada ya kuibaini Strabag. Let's say angetuliaa hiyo Magomeni ingeongoza wapi?????
MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENIIIIIIIIII
 
Kuhusu Strabag, Kweli kulikuwa na uzembe as strabag walianza huo mradi 2012 hapo hata Boss Teresia hakuwepo Magomeni enzi hizo alikuwa makao Makuu Tena Ofisi ya Public Relations na aliifanya kazi yake kweli PR ya Dawasco ikaonekana hasa.. Sasa huku strabag aliingiaje Kama sio Kumdhalilisha na kumkosea dada yetu huyu Heshima, Utu na kumharibia kazi makusudii???????

Kama kuna kosa alihusika akishirikiana na strabag ashitakiweee ukwelii uwekwe Hadharani na sio kumsingizia hivyooo

Na Jamani wezi wa maji Magomeni kipindi cha Boss wetu huyu walinyooka, walikuwa wanawakimbiza mpk wenyewe waliombaaa pooo
Super woman Boss Teddy tunakukubali daimaaaa
Hukumuogopa mtu, uliheshimu na Penyeupotovu kweli ulionyaa tukakuelewa.
Rais Magufuli huyu dada apewe haki yake.
Kuna wanawake mashujaaa huyu Mama Teresia ni SHUJAAAAAAAAAAAAAA

Sielewi kwa nini waziri wa maji alimwacha Cyprian na wakurugenzi wenzake wakati wao Kama viongozi wakuu walipewa taarifa na wakaipuuza na bado wameachwa ilihali wamehusika kwa uzembe huo huo. Hii sio HAKI.

Sasa management ya Dawasco inalalamika Cyprian hana Hekima ya uongozi kwani anakurupukia mambo kwa kuwasikiliza wambea wake, kuwanyanyasa Ikiwa ni opportunity kwake kwani anataka kupata Cheo kwa nguvu kupitia wanasiasa. Anadai eti anasalitiwaaaa

Sasa oneni wafanyakazi tuliburuzwagaa kuhamishiwa acc za mishahara CRDB sisi sote hatukumwelewa kwani hatujui Kapewa nini huko CRDB na sababu zake hatuzielewi, tulilazimishwa tu''.

Sisi wafanyakazi wa chini huku ndio usisemee tunafukuzwa kazi muda wowote kwenye mikutano ya wafanyakazi, utasikia tu Cypriani anawaagiza HR mpeni barua ya kumfukuza kazi huyuu... Makosa yenyewe yanaweza kuwa no ya kuwewa onyo la mdomo au maandishi kulingana na sheria za utumishi wa umma. Ila atakavyokudhalilishaa kwa kweli utatamani uache kazi kweli..


Jamani hivi vyeo vya kuhonga hivi, na anajua kutoa RUSHWAA jamanii kaaaa

Kuropokaa ropoka sasaaa uuuuu,,
Vitishooo kwa Cyp pale ndio mahalii pakeee..
Kuvunja Sheria utadhani kaitunga yeye na hivi wafanyakazi hatuijui vzr ndio balaaaa, jinsi unavyojipendekeza kwake ndio unapewa kacheoooo

Anajiita mtoto wa mjini eti anaongea na Rais anytime uwiiii tunanyanyaswaaa chaaaa
 
Niliwah kuwajulisha Dawasco kuwa Kuna mteja anawaibia MAJI kwa miezi sita , huku akiwa na miradi mikubwa ya kutumia MAJI mengi, kilichotokea Dawasco wakaenda wakapiga pesa ndani ya Sikh mbili wakamfungia Mita akawa mteja halali. Wakati mwingine hakuna haja ya kufuatilia sana mambo ya watu , ni vyema kuangalia ugali wa watoto wetu.
In general, watumishi wa DAWASCO ni wapo wapo tu, wapo ki business as usually. Hata wao wenyewe wangeliona hilo bomba limepasuka wasingeliziba mpaka watumwe tena na mkubwa wao.
 
Alafu sisi huku hata maji hayafiki kumbe kuna hela tunachangia kwa kukatwa Service Charge kila mwezi
 
Huyo Luhemeja ana tuhuma lukuki ikiwemo udhalilishaji wa kijinsia wa watumishi kadhaa wa kike wa shirika.
Sina uhakika, nadhani watumishi wameanza kunyooshwa
Kama ni kweli basi hata huyo Luhemeja hayuko Salama ataondoka, tuwe watazamaji ni suala la muda tu
Luhemeja yupo makini sana, ila watumishi wake ni vilaza sana na wavivu mno
 
CyprianLuhemeja-dawasco-front.jpg

Kumbe mkuu na wewe ni mpigaji au majungu?...hebu njoo utujuze.
Mkuu nisaidie yafuatayo:-

1. Hivi wakati strabag wanajenga barabara nani alikuwa CEO wa DAWASCO?

2. Wakati huo wa strabag huyo Luhemeja alikuwa ni nani pale dawasco?
 
Hayo ni maungio ya maji yanayoibiwa aliyoyagundua teresia na kuyakomesha akiwa magomeni. Hapa ni manzese.
Kwa kazi yake kama meneja hili lilikuwa ni jukumu lake la msingi. angekuwa wa ajabu sana kama asingechukua hatua kama hizi. Mimi naamini teresia atakuwa kasimamishwa kwa suala lingine ila si wizi ws strabag
 
MLETA UZI UNAPASA NA WEWE KUMUOGOPA MUNGU.MAANA SASA UMEAMUA HATA KUTUDANGANYA NA SISI ,BAHATI NZURI WENGINE TUNAKUMBUKUMBU ZA KUTOSHA UNGETAFUTA TU MBINU NYINGINE YA KUMCHAFUA LUHEMEJA HAPA UMEFELI TAYARI.

HIYO UNAYOITA KADHIA YA STRABAG ILIKWISHA ANDIKWA NA VYOMBO VYETU VYA HABARI NA ILIHUSISHA WAFANYAKAZI 10 AMBAPO KATI YAO ,WAFANYAKAZI SITA WALIKUTWA NA KOSA NA KUFUKUZWA KAZI.

WAFANYAKAZI WANNEHAWAKUONEKANA NA MAKOSA NA WALIENDELEA NA KAZI.

HUYU UNAYEMTAJA TERESIA MLENGU ANADAIWA KUKIMBIA MWENYEWE BAADA YA KUGUNDULIKA KULA PESA ZA UBUNGO PLAZA ,YEYE PAMOJA NA ALIYEKUWA AFISA WAKE WA FEDHA WANADAIWA KUKIMBIA BAADA YA KULA JUMLA YA KIASI CHA SH MIL 2.

HADI SASA WANATAFUTWA NA DAWASCO.

HUYO UNAYEMTAJA ,TERESIA MLENGU HAKUWAHI KUHOJIWA NA YEYOTE KUHUSU STRABAG.AMEJIONDOA MWENYEWE KWA KUKIMBIA MKONO WA SHERIA.

WAFANYAKAZI WENZAKE WALIOGUNDUA KADHIA HII ,EMANUEL ZABRON SASA NI MENEJA DAWASCO KIMARA.BERNAD MKENDA NI AFISA FEDHA KINONDONI.

HAYA MAJUNGU UNAYOPIKA HAYANA HATA CHEMBE YA UHALISIA,,,NI KAROHO KAKO TU KANA SUKUNUNU....

KWA HAYA KASI YA UTENDAJI KAZI YA DAWASCO NDIO KWANZA INAONEKANA KUONGEZEKA.

PIGENI KAZI DAWASCO ,HUYU MMOJA AISIPOONA JITIHADA MNAZOFANYA KWA AJILI YA WAKAZI WA DAR ES SALAAM BASI MUNGU ATATAMBUA NINI MLIFANYA KWA AJILI YA WATU WAKE .
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom