Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa


kwahiyo unatangaza uasi? je mnajiandaa na nani na wapi? nani anawafadhili? kama haya maswali ni magumu kuyajibu nakuomba mara moja ufute kauli yako! vinginevyo haya maneno yako yana madhara, unaweza ukawa unatania akajitokeza mtu wa kuyatekeleza uliyoyasema unafikiri watanzania hawatakuhusisha na hilo?
 
Kwahiyo video ndo maendeleo tunayotaka watz siyo?na tusijadili tena kuhusu fm4 failureness,maji n.k si ndiyo?
 

nakupongeza humesema kweli halita salia jiwe juhu ya jiwe,
 
ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na magaidi...mtaishia kuichora chini

hivi wewe unajua màana ya neno takatifu au unalopoka tu.. Mahala patakatifu angeingia huyu mzinzi,mshirikina,mwizi,mnafiki...ikulu si mahala patakatifu tena bali ni mahala wanapokutana wahuni kupanga dili za kutekeleza mauwaji,kung'oa watu meno na kucha,kupiga picha na wabwia uga...
 
Chadema mpo juu achaneni na magamba tunawangojea bungeni mwezi ujao wanataka kuwatisha muogope ili msiwabane hao magamba sisi wanyonge tegemeo letu ni chadema.
 
mtu mkubwa hatishiwi nyau, CDM imeweakamata pabaya mtabadilisha milio mwisho wa siku mtatulia,mtashtuka CDM ikiwa iko ikuru,:A S 39:
 
nyie mtanzania na bashe wenu, malizaneni na membe kwanza ndio mje kwa chadema au ndio staili ya kutwanga kotekote? Vp kibanda anaendeleaje? Kuweni makini sana.

waambie mkuu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,wanafikiri,,,,,,,wataidhoofisha,,,,,,cdm,,,,,,watz,,,,,,,wa,,,leo,,,sio,,,1995,,,,karata zao,,,,,,,,,,azichangikiki,,,,,,,,,,,tena,,,,,,,,,nguvukazi,,,,,,,,,,,,wale,,,,,walio,,waita,,,taifa,,kesho,,,sasa,,,wanataka,,,,nchi,,,,,,yao,,,,
 

JF kuna vichwa vizuri vinavyoweza kutoa majibu muafaka kulingana na aina ya mtu anayekurupuka kutetea wezi!!!
 

Uchekechea unawasumbua wale
 
Fungua wavuti.com nenda habari ndio urudi hapa kubishana

Hakuna haja ya kuhangaika na wavuti yenye habari feki. Wavuti inayobeba habari feki nayo ni feki. Tusubiri polisi watamkamata nani awamu hii! Hakuna haja ya kukuna vichwa, mahakama zipo nazo zitaweka mambo bayana.
 
Chadema na watanzania wake ,ccm na wizi wao.
Evrythn z created na jiandae sikia meng bot chadema hasa baada ya kuanzishwa na kukua kwa m4c jiandae ona meng ila peoplez power!!

HAAAAAAAAA,,,,M4C,,,,IMEWASHIKA,,,,,,,PABAYA,,,,,,,,HAAAAAAAAAAA:msela::msela::msela::msela::msela: ,,,,,,,,,,
 
kwaiyo Yesu aliuwawa kwa sababu ya wapuuzi wachache!!!
na sio kwa mapenzi ya kuwapenda wanaadamu??
 
wewe ni mjinga sana, pigana na ukuta kama una hamu ya kupigwa...watanzania wapo makini sana na ugaidi wenu

hivi siku 90 ulizowapa mafisadi wenu bado hazijaisha? Vipi mabillion yetu huko uswiss? Vipi watekaji wa dr ulimboka na kibanda? Au ndiyo mnapotezea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…