ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,690
JF inatakiwa iheshimiwe vinginevyo itapoteza maana ya uwepo wake. JF imegeuka chombo cha kupikia majungu badala ya kujadili hoja za maana. Kuna watu kwa ajili ya kuzunguka humu JF kujibu hoja hata kama ni kwa njia ya kipuuzi ili mradi wajibu tu. Kuna watu kama kina ZeMarcopolo, Ritz na utaifakwanza wao kazi yao ni kupinga hoja yoyote inayoipa serikali changamoto. Wako tayari hata kujidhalilisha kwa majibu ya ovyo ili mradi wamfurahishe aliyewatuma. Watu hawa ni hatari kwa ustawi wa taifa letu. Wapo wengine wanaanzisha thread zisizokuwa na mashiko ili mradi waonekane nao ni member wa JF. Kwa mfano kuna aliyeanzisha thread humu akidai eti wachaga ndio wanaongoza kwa mapenzi ya jinsia moja hivyo alitaka wana jf wajadili hoja. Wengine wanaanzisha thread za kukashifu dini zingine. This is too much.
sawa ila mkuu kumbuka hii nchi tumekuta watu wameipigania na wengi walipoteza roho zao na wameifikisha hapa tulipo.. kumbuka rwanda waliuana kwa chuki za kikabila, israel na palestina hadi leo wanauana kwa chuki za kidini....tuulinde umoja na mshikamano wa tanzania...wanansiasa wataondoka na vyama vyao tanzania itabaki.......tupinge kwa nguvu zote yale yanayoharibu udugu baina yetu
Practice what you preach.
Unachokipinga ndicho unachokitenda kwenye post yako hii hii...
SHEHE ILUNGA!!! aliyetoa hukumu wakristo wauawe anaitakia mema nchi?!!!!...
Fafanua tafadhali. Ni kipi nilichokipinga na kukitenda kwenye post hii?
Raisi wa tano tukiungana hivi hutaona mtu yeyote akitetea dini yake bali tutajenga umoja wa taifa letu!!!!!!... Tukishabikia mambo mengine wakati ya msingi tunayaacha hatutendi HAKI!!!...
Mimi ni mkristo tangu nikiwa mdogo, nina ndugu, jamaa na marafiki wengi waislamu.. Ninawaheshimu na kuzingatia miiko yote ya imani yao!!!!...
ILA NI KWELI KABISA SIWEZI KUNYAMAZA KIMYA wakati watu wanataka tushabikie CD za mwigulu Nchemba huku tukijua wazi MAPADRI wawili mamepigwa risasi kwa kitu ambacho wakristo tunaamini kinatokana na mafundisho ya shehe ILUNGA!!!!...
Wewe jaribu kuchunguza humu anayeshabikia CCM pia anamtetea ILUNGA kwa nini tusitie shaka kuwa chama hiki kina lake jambo dhidi ya viongozi wetu?!!!!
"Akiuwawa Shekhe na nyinyi ueni Askofu"Ukiogopa kauli hii ima wewendio unaua Mashekhe au unaamrisha kuuwawa Mashekhe au unashabikia Kuuwawa Mashekhe.
"Akiuwawa Shekhe na nyinyi ueni Askofu=Hasipouwawa Shekhe hatauwawa Askofu"
Msingi wa kauli hii ni tabia ya Maaskofu kuwapongeza Polisi pindi wanapouwawa Waislamu,tumeshuhudia hili 1998 na 2001.Baada ya kauli ya Ustadhi Ilunga sidhani kama kuan Askofu atakayeipongeza polisi kwa kuuwa Waislamu.
CHADEMA hawawezi kunasuka. Mbinu zao zimeota mbawa.
Siasa za kutesa/kuua watu kwa mtaji wa kura zimefika mwisho.
Siku za mwizi ni arobaini. CHADEMA kupewa kura kwa propaganda za kijasusi zimefika mwisho.
Pongezi za dhati ziwafikie wale raia wema waliotuonyesha maovu ya CHADEMA.
I'm sorry. Sifahamu umri wako. Ninakuwa kama ninapoteza muda wangu kukujibu swali lako kwa sababu swali kama hili hata mtoto wa darasa la nne angejua sehemu ya kulielekeza na kikubwa zaidi angejua ni nini anachokiongea.SHEHE ILUNGA!!! aliyetoa hukumu wakristo wauawe ATAKAMATWA LINI?
Kweli CCM vichaa, sijui walimchaguaje huyu Mwigulu kuwa kiongozi!
ndoto za mchana hizo. Subiri uwaone mitume wenu mbowe na Slaa ndani ya karandiga.