Maputo yaipiga bao Da r es salaam

Lile la Tazara ni Tuta kubwa tu sio fly over wala nini
Na afadhali hata wajenzi wangekuwa wachina wangejaribu kuweka mataa ya kuwaka waka kama ya daraja la kigamboni ili iwe DANGANYA TOTO lakini WAJAPAN wamejenga DARAJA MCHOKO labda kwa kuwa ni la MSAADA afadhali hata UBUNGO ndio tungesema kuna FLYOVER
 
Nenda Kaishi huko.
Ha ha ha umepanic mkuu, Hamna kitu. Zindueni hayo matuta yenu kimyakimya sio kila hotuba. Tuta la tazara tumejenga sijui nini nini kujisifu kusikoisha. Haya hilo la kwanza tu mkiendelea kujisifu tutawaumbua tu hamna namna.
 
.....
......J4 bana Mkuu nimecheka sana
 
Tanzania haijakopa kujenga flyover ya TAZARA bali ni msaada wa kutoka Korea Kusini.

Na ni haohao wakorea wametoa tena msaada wa kujenga daraja la Salender.
Tzr flyover msaada kutoka Jp
New Selander bridge msaada kutoka Korea
 
Unadhani msaada ni bure?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…