Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Huu ni utafiti nilioufanya mwenyewe kuhusiana na harakati za zitto katika kukisadia chama
Kwanza naanza na swali
Chaguzi ndogo zote za mwaka 2011 zitto hakuwa na ushirikiano na viongozi wake pamoja na kuwa na ushawishi mdogo kwa watanzania. Uchaguzi mdogo wa busanda, kiteto etc zitto hakuwa na msaada wowote.
Uchanguzi wa madiwani Mwanza zitto ndo amechaguliwa na chama kama kamanda wa operetion shinda mwanza
lakini mimi nina uhakiki na Uchaguzi mdogo wa diwani MWANZA CCM itaibuka mshindi.
Najua Arumeru zitto hana mchango wowote
kwa maoni yako zitto ana mchango wowote kwa chadema?
Kwanza naanza na swali
Je zitto ametoa mchango gani kwa kampeni zote za chadema?
Nikianzia historia ya karibu kwa bwana zitto, Mwaka 2010 hakutoa mchango wowote kwa chama ukianzia kigoma kwao wagombea wote wa chadema walishidwa lakini zitto alikuwa anato support kwa wabombea wetu wa ccm na NCCR
Chaguzi ndogo zote za mwaka 2011 zitto hakuwa na ushirikiano na viongozi wake pamoja na kuwa na ushawishi mdogo kwa watanzania. Uchaguzi mdogo wa busanda, kiteto etc zitto hakuwa na msaada wowote.
Uchanguzi wa madiwani Mwanza zitto ndo amechaguliwa na chama kama kamanda wa operetion shinda mwanza
lakini mimi nina uhakiki na Uchaguzi mdogo wa diwani MWANZA CCM itaibuka mshindi.
Najua Arumeru zitto hana mchango wowote
kwa maoni yako zitto ana mchango wowote kwa chadema?