Kuelewa unachouliza unatakiwa ufanye summary ya mambo mawili
-mwenyez mungu anajua Kila kitu
-Binadamu ana free will.
Ukiweza kufanya hizo statment mbili ku Co-exist basi utakua umeshapata jibu la maswali yote ya juu.
Na ili uweze kuzifanya hizo statement ku Co-exist pamoja chukulia mfano wa computer ama game.
Developer anatengeneza Program ya computer anaweka maelfu ya features, Developer anajua features zote, wewe unatumia hio program una free will kuchagua feature yoyote ile ila hakuna feature hata moja ambayo utachagua ambayo developer haijui.
Mwenyez Mungu alitengeneza Dunia way before hata Binadamu wa kwanza hajakuja, Kila kitu kimeandikwa, wewe una free will kufuata ambavyo mwenyez Mungu ameweka, ila ni will yako inayoamua kufuata vitu vizuri vilivyowekwa na Mwenyez Mungu ama kufuata vitu vibaya.