Mapokezi ya Rais Samia: Kwanini watendaji hawajaweka zulia jekundu, kiprotokali hili limekaaje?

Acha jazba mkuu tofautisha muislam na anayeitwa muislam,kwani hawapo waislam wanaokula kitimoto au kunywa pombe lkn dini imekataza,na hayo makundi ya wahuni huko Libya,somalia hawapo ktk misingi ya uislam na uislam haujaelekeza hivyo fuatilia kumbuka si kila mtu anaeitwa Mohammed hassan basi wametimia katika uislam wao wengine ni majina tu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app

sikukuu njema mkuu. Kama nchi za kiislam asilimia 100 hakuna waislam safi wa kuongoza wengine basi jua kuna shida sehemu. Yote kwa yote tumpe muda madam na tumuombee kwa Mungu ampe hekima na afya njema.
 
Hivi libya Sudan kusini hakuna waislam au Somalia vipi Yemen? Acheni mambo ya ajabu bana. Mama inaweza kua hulka yake lakini sio dini ndo inasababisha hayo. Nchi za ulaya nyingi ni za kikristo na ndo zinaongoza kwa amani na usawa maisha mazuri. Nao utasema viongozi ni waislam? PASAKA NJEMA
Amesema akiwa na nusu ya imani ya dini yake. Syria kuna wakristo karibu nusu kwa nusu.
 
Timu ya itifaki huwa pia inatazama hitaji la Rais, kama yeye ataona siyo la lazima basi huwa na wao huweka kando. Zuria jekundu ni SIFA siyo suala la lazima la kiitifaki, Mama hapendi itifaki za sifa.
Duh...wajuaji mko wengi....dah....you are absolutely wrong, very wrong ..dah...mnateseka Sana kwa kweli...kujipendekeza kwenuhuku kwa Rais wetu mpya na anayetoka CCM siyo kwa kawaida...
 
Sidhani kama mleta mada upo sahihi...

Ni mara kibao JPM, JK na wengine wamekuwa wakipokelewa pasipo uwepo wa hilo busati jekundu...

Hivyo sio itifaki
 
Timu ya itifaki huwa pia inatazama hitaji la Rais, kama yeye ataona siyo la lazima basi huwa na wao huweka kando. Zuria jekundu ni SIFA siyo suala la lazima la kiitifaki, Mama hapendi itifaki za sifa.
Unamaanisha kuwa Mwenda zake alipenda sifa???.
 
Ukipata kiongozi wa kiislam akawa na imani japo nusu ya dini yake hawana tabu na ukamkuta mwenye dini hasa mtaishi kama mbinguni,kifupi luxurious za duniani hazijawahi kumhadaa mcha Mungu kwake maisha ya dunia ni mapito ya muda mfupi sana haoni sababu ya kukera mtu mwingine.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unataka kusema kuwa Viongozi wa Serikali ambao ni Wakristo ni wapenda luxury na sifa??.
 
Duh...wajuaji mko wengi....dah....you are absolutely wrong, very wrong ..dah...mnateseka Sana kwa kweli...kujipendekeza kwenuhuku kwa Rais wetu mpya na anayetoka CCM siyo kwa kawaida...
Umeona eenhh?!!!. Shida sana.
 
Sio kweli, itifaki sio matakwa ya mama Samia Bali inategemea na aina ya ziara.
Zipo nyingi tu ambazo magu pia walikuwa hawaweki red carpet
View attachment 1742821
unasema zipo ziara nyingi Hayati amepata kufanya bila kuwekewa red carpet lakini ushahidi wa madai yako unatuwekea picha ya tukio moja tu...tuwekee hapa picha zake tofauti tofauti kuthibitisha madai yako.
 
Dini, zulia jekundu na kukera watu wengine vina uhusiano?
Uhusiano upo tena mkubwa. Dini ya Kiislam haina mbwembwe, mambo ya ceremonial ni kidogo sana, na huchukuliwa kwa uzito mdogo sana, ndiyo maana hizo mbwembwe huwa si hoja sana kwa kiongozi aliyeiva dini. Ukifanya sawa, usipofanya sawa, lililo la msingi ni kujenga umoja, mshikamano na kufanya kazi.
Pia rejea matukio ya kiislam kama ndoa na misiba, ni simple sana!
 
Timu ya itifaki huwa pia inatazama hitaji la Rais, kama yeye ataona siyo la lazima basi huwa na wao huweka kando. Zuria jekundu ni SIFA siyo suala la lazima la kiitifaki, Mama hapendi itifaki za sifa.
Mkuu naweza kukubaliana na wewe,maana nimeona Mara nyingi USA president mpya hawatumii hii kitu
 
Back
Top Bottom