Nadhani akijua mgeni wa nje au sherehe hizi za kupanda na kushuka huwa hawawekiTumezoea kuona viongozi wakubwa wakipokelewa kwa mazulia mekundu, kwanini kwa mama yetu haikuwa hivyo? Kiprotokali limekaaje hili wanabodi?View attachment 1742740
Nadhani akijua mgeni wa nje au sherehe ...hizi za kuoanda na kushuka huwa hawawekiTumezoea kuona viongozi wakubwa wakipokelewa kwa mazulia mekundu, kwanini kwa mama yetu haikuwa hivyo? Kiprotokali limekaaje hili wanabodi?View attachment 1742740
Tuko kwenye maombolezoTumezoea kuona viongozi wakubwa wakipokelewa kwa mazulia mekundu, kwanini kwa mama yetu haikuwa hivyo? Kiprotokali limekaaje hili wanabodi?View attachment 1742740
Minne na mitano, mitisaMama si mpenda sifa za kijinga. Ni mcha Mungu na anajua yupo anayestahili sifa na utukufu. Muacheni apige kazi. Mama mitano na mitano tena.
HahahahahahahahahahaDuh! Ngoja waje wazee wa kale ka chuo ka karibu na Jite
Ka chuoDuh! Ngoja waje wazee wa kale ka chuo ka karibu na Jite
Unawa miss kishenziTusubiri ufipa waite press waje na majibu!
Dini, zulia jekundu na kukera watu wengine vina uhusiano?Ukipata kiongozi wa kiislam akawa na imani japo nusu ya dini yake hawana tabu na ukamkuta mwenye dini hasa mtaishi kama mbinguni,kifupi luxurious za duniani hazijawahi kumhadaa mcha Mungu kwake maisha ya dunia ni mapito ya muda mfupi sana haoni sababu ya kukera mtu mwingine.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app