Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,520
- 41,034
Ole wao NEC wakosee mahesabu wajifanye eti wanaiba au hawakutaki kumtangaza mgombea aliyeshinda kiuhalali, wao, CCM na Polisi wao, watajuta. Tumefanyiwa mambo ya ajabu ajabu mengi miaka hii 5, sasa ujinga wabaki nao CCM, na wapambe wao NEC na PoliceCCM. Wananchi tunasema, kuonewa, kugandamizwa na kuibiwa kura, imetosha.Only NEC ndio wanaweza kuwaokoa CCM hapo 28 octoba. Njia nii nyeupe kwa Lissu na Chadema.
Ni Yeye2020
Kule kwetu, sasa tumefikia mahali pakusema, "Swela Hela".
Sent using Jamii Forums mobile app