minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Mikutano ya CCM bila fiesta CCM hawaendi watu, CCM bila wasanii wa miziki hakuna mtu atakwenda huko kuwasikiliza..mimi sijasema mikutano ya Jiwe haina nyomi.
..nimesema Jiwe hana hoja za kuwashawishi wanaohudhuria mikutano yake.
..mara nyingi Jiwe hutumia lugha za matusi, na kauli za karaha, ktk mikutano yake.