MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
Ndugu zangu niwauliza ninyi Vijana wa Chadema Karatu, mliokomaa kisiasa mnafanya maandalizi ya maandamano ya kumpokea Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Cecilia D. Paresso hasa kwa kitu gani?
1. Wabunge wa Viti maalum wapo sehemu nyingine hilo limefsnyika?
2. Mnafanya maandamano hasa kwa kipi alichofanya?
kwangu mimi hainiingii akilini naomba mnisaidie. Ngonja niombe msaada wa Makamanda wengine wa Nje ya Karatu. Makamanda mnisaidie
1. Wabunge wa Viti maalum wapo sehemu nyingine hilo limefsnyika?
2. Mnafanya maandamano hasa kwa kipi alichofanya?
kwangu mimi hainiingii akilini naomba mnisaidie. Ngonja niombe msaada wa Makamanda wengine wa Nje ya Karatu. Makamanda mnisaidie