Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kenya tunawSubiri watudadavulie
Madini yalikamatwa mwaka jana.. Ysmerudishwa mwaka huuHaya mambo yatia mashaka, iweje majuzi tu Rais wa nchi hiyo ametoka kufanya ziara kwenye eneo lenye utajiri mkubwa wa madini na kuna tetesi pamoja na kupewa wale tausi pia alisindikizwa na madini .
Hizi kiki sasa zimekuwa too much.
Hapo ndo ujue kuwa watanzania tumesha geuzwa misukukele.Madini yalikamatwa mwaka jana.. Ysmerudishwa mwaka huu
Ndio hapo sasa!!!Madini yalikamatwa mwaka jana.. Ysmerudishwa mwaka huu
Mwanakijiji ni mwenzao ??😊😊Vituko vingine hivi hapa ambavyo hata mwenzenu kashituka:
Ripoti ya Utetezi wa Bwawa la Stiegler - Ndiyo Hii? Nimeshindwa Kuisoma...
Magufuli teua watu wengine waandike a professional report ila hawa peleka butimba miezi sita. Wanatudhalilisha sana, this is a froffesional insult of high degree.www.jamiiforums.com
Natafuta Taifa jingine la kuishieti dhahabu imekamatwa cha ajabu wahusika wa utoroshaji hawajulikani..kwahyo dhahabu ziliondoka zenyewe au? naona aibu kuwa mtanzania kwa kweli
Mkuu Salary Slip, ule upande wako umeishiwa hoja za kuupamba, sasa unaanza kuweka mafuta ya taa kwenye kuni kavu, ili iweje?Mimi naomba niseme nitakuwa wa mwisho kuamini moja kwa moja hili tukio na nitajipa muda kwanza kabla ya kusifu na kupongeza.
Vile vile naamini kama kuna jambo nyuma ya pazia,basi ni swala la muda tu kabla ya media za Kenya kuanza kuweka hadharani ukweli wa mambo kama walivyofanya kwenye ile kashifa ya kampuni ya Indo Power Solution kwenye sakata zima la koroshow.
Wazungu wana msemo: "once bitten,twice shy".
Alafu pengine hii sijui ni namna ya kujaribu kuonyesha kuwa mahusiano yetu hayana mushikeri yoyote licha ya yaliyotokea siku za nyuma kama ile habari ya kuchoma vifaranga na matamshi ya yule mbunge wa Kenya kwa maana ya kufanya damage control?
Naomba niishie hapa.
Hadithi yenyewe haina background hata kidogo. Kawaida tulitarajia kurudishwa nyuma mpaka pale ambapo MTU anakamatwa uwanja was ndege Nairobi na hizi kilo za dhahabu. Magazeti ya Kenya hayakuandika habari ya hili tukio.? Magazeti ya Tanzania hayakuandika kihusu hili tukio kubwa kama hili?
Exactly magazeti redio hayafanyi research za habari wao ni kutwanga tuBasi kesho magazeti yote hii ndio itakuwa habari.Cha ajabu,baadhi ya mambo ya hovyo hovyo ya awamu hata kuyaandika hawaandiki.
Siku hizi wapinzani wakiongea hoja za msingi, Wahariri ama wanazipotezea au kuzipa uzito mdogo.Na tangu watishwe baada ya kuripoti press conference moja ya Zitto siku za nyuma,uogo na hofu imewazidi mpaka kero!!