Uwe na muda.
Andaa kuku au nyama safi pembeni
Chukua mchele basmati loweka kwa viungo vyote vizima vya pilau pembeni.
(Nenda ukonga banana kule utapata wanasaga au vizima vyoote)
Vitunguu vingi karanga pembeni.
Yoghurt pembeni
Ghee pembeni
Safrani pkt 2 loweka kwenye maziwa au mafuta pembeni.
Koshmiri majani pembeni.
Kupika.
Anza na kuku karanga na Vitunguu zipate rangi Toa weka pembeni.
Toa mchele kwenye maji weka pembeni.
Vitunguu tena, swaumu, tangawizi,
Majani ya ndimu, na viungo vyote uliloekea mchele karanga pamoja.
Nyanya ukitaka,weka kuku humo na Yoghurt.
Toa anza na sufuria safi kuweka layers.
Mchele ulioloweka chini, sotojo lakuku juu, mchele tena sotojo juu mpaka viishe malizia na mchele.
Ghee mwagia juu, zafroni mwaga juu unaweza kuandika chochote alahu akibaru,mwajuma sikupendi unaniua,Abdul nitakufuma,shangazi nipe tako.
Chochote.
Mwagia kotmiri majani yale.
Vitunguu vile ulikaanga mwanzo
Funika sufuria lako kwa foil, bakin papper,kmoto juu au ukiwa na oven bake juu, chini
Moto mdoogo 110-120c,
nenda kanywe bia.
1 hr ukiipua kitu hicho.
Usikoroge.
NB.ni uwe na wageni 10 min siku hiyo.
Soda ziwepo,na juice zote
Mkila mkivimbiwa muende kwa sheikh kusoma surat al-jaanun makhbuh mlango wa tisa mje mnishukuru baadae.
Naongea km nabii issa au sheikh issa.