Mapinduzi Yaliyoshindwa ya DARUSO 2002/3

Status
Not open for further replies.
Thanks brothers,I have enjoyed a wonderful conversation of traitors from UDSM to date.
guys,may I know a little bit about Introduction of HELSB during your university era!? And the trip to SA!?
 
Wanajf samahan ndg zangu najua ridhiwani nimesoma naye mkwawa-aliishi makongoro west-je huyu omary lyasa naye katoka kwenye ile shule kongwe iliyo na msomi karibia kila taasisi!?i mean mkwawa high school 1998-2000
 
zito wewe umwkuwa ukitumiwa sana na TIIS kumbuka ata mgomo uliperekea kuondoka kwa wakina Magabe na Marehem Mkiri wewe ulikuwa imformer wa serikali .

Zitto ni snitch aliyekubuhu
 
dah mmenikumbusha mbali sana ayo mapinduzi udsm
 
 
Naukumbuka sana huu mgogoro wa daruso kipindi hicho japo sikua UDSM, Kayombo alikuwa makamu wangu kwenye uongozi wa TAHLISO kipindi hicho Mimi nikiwa rais DIT ... changamoto zinazojitokeza wakati wa uongozi vyuoni huwa ni mtihani sana na ndio maana wale wanaomaliza migogoro hiyo vizuri huwapa ujasiri zaidi na hatimaye wengi wao huweza kuwa viongozi wazuri...lakini wale wanaoumizwa na changamoto hizo wengi hukosa ujasiri wa kuongoza tena na hivyo kupotea kabisa kwenye siasa...
 
Reactions: EMT
Hivi yule Yank alietimuliwa na Government eti ni Mganda hafai kuwa kiongozi pale UD anaitwa nani
 
Huyo Jamaa alitumia pesa nyingi sana kufanya kampeni, lakini alishindwa na kampeni ya chumba kwa chumba ya Kayombo, tena alishindwa kabisa, hakuna kura iloibiwa!!
 
Dah mungu akubariki mleta uzi haitatokea tena UDSm kukawa na watu wa kuthubutu kama bench la 2001/2003 vugu vugu la mapunduzi ndilo lilonipa mke ambae nipo nae mpaka sasa thnk god for dat

Omar ilys alikua na rafiki yake wa kipemba alikua mpambe wake anaitwa nani vle
 
Wewe mchokozi sana, mapinduzi yaliongozwa na akina Zitto, Ridhwan Kikwete, A.Msando na Omary Lyas

walikuwa wanasema tulishinda kijanja kijanja na hawakuwa na imani na ushindi wetu.

kwani umekumbuka nini mkuu?

Waberoya Brother hivi unaweza kweli kuthibitisha kuwa kinachoendelea CHADEMA leo kina uhusiano na hili lilotokea wakati huo?
 
Last edited by a moderator:

Duh!
Kweli NGwini ngwini tu!
 
Hivi yule Yank alietimuliwa na Government eti ni Mganda hafai kuwa kiongozi pale UD anaitwa nani

Odong Odwar kama sijakosea...it was a very hot battle between Odong na uongozi wa chuo but finally jamaa alirudishwa Uganda baada ya maCcm kuplant kadi ya chama kwenye personal stuffs zake...
 
Hivi Tweve yupo wapi?nakumbuka mgomo wa kugomea kusainiwa mswaada wa mkopo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…