Mapinduzi ya Serikali yakifikiwa, kiongozi atashitakiwa?

Kizimbuzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
1,569
739
Kama kupanga, kujaribu, na kusaidia kuipindua serikali, ni kosa kisheria, je, mapinduzi yakifanikiwa, na wana-mapinduzi wakatwaa madaraka, je, kisheria hawa wana-mapinduzi wanaweza kushitakiwa?
 
Back
Top Bottom