Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Yalikuwa mashindano yenye heshima hivi sasa yamekua mashindano ya kihuni yakiongozwa na marefariii wahuni hatujapata kuona nchi hii.
Upuuzi ulianza mechi ya mlandege kila mtu alishangaa ni kwamba refariiii aliingia na matokeo, fanya ufanyaloo Mlandege ishinde
Tuje mechi ya Simba hii ndio ilikuwa ya kipuuzi zaidi hata kama kuhongwa hakuwa na aibu refaa huyu kwa aliyofanya.
Ingawa baadae aliombewa msamaha na shirikishooo nitashangaa kuona wapuuzi kama hawa wakiendelea kuchezesha mechi zozote nchini...
Sasa unawezaa elewa mechi ya leo final majibu ni yapi kama timu ziliingia kwa upuuzi wa marefa
Niko paleee temboni natoa zaka pls ntarudi baadae
Wasimamizi wa haya mashindano kama mmeshiriiiki huu uhuni muachane nao Apr imeandika barua shirikisho Lao haitaki kabisa kusikia timu yoyote ya Rwanda ikienda Zanzibar kucheza ujinga kama ule....
Upuuzi ulianza mechi ya mlandege kila mtu alishangaa ni kwamba refariiii aliingia na matokeo, fanya ufanyaloo Mlandege ishinde
Tuje mechi ya Simba hii ndio ilikuwa ya kipuuzi zaidi hata kama kuhongwa hakuwa na aibu refaa huyu kwa aliyofanya.
Ingawa baadae aliombewa msamaha na shirikishooo nitashangaa kuona wapuuzi kama hawa wakiendelea kuchezesha mechi zozote nchini...
Sasa unawezaa elewa mechi ya leo final majibu ni yapi kama timu ziliingia kwa upuuzi wa marefa
Niko paleee temboni natoa zaka pls ntarudi baadae
Wasimamizi wa haya mashindano kama mmeshiriiiki huu uhuni muachane nao Apr imeandika barua shirikisho Lao haitaki kabisa kusikia timu yoyote ya Rwanda ikienda Zanzibar kucheza ujinga kama ule....