MAPIGO: Mbeya City yaagiza ‘ndege ya chini’

MAPIGO: Mbeya City yaagiza ‘ndege ya chini’

naona wanataka kutujibu AZAM FOOTBALL CLUB mabingwa wa tanzania....!?
sio mbaya huo ndio wivu wa kimichezo sio kama wakongwe SIMBA na YANGA baraka ya majungu tu.
ila mwakani tutanunua ndege kama TP MAZEMBE..

naona soka la juzi limekufanya uhamie Azam
 
hao mabilionea wengine wa tanzania hawapendi mpira?
 
mwanza ndi hakuna kitu siasa ndio zimetawala jiji halina timu hata 1,ona tanga ona mbeya
amkenu wana mwanza

Hata Arusha hamna timu, Oljoro imeshuka AFC ndo hyo iko ligi ya mkoa
 
Kichwa cha habari yaagiza. Maelezo,inatarajia. Hongereni.
 
ndanda sidhani labda stendi..

Stand tumejipanga watu shy wanaichangia sana pia makampuni ya mabasi ka soud group of companies, Allys etc wako tayari kuibeba na ni timu pekee ligi daraja la kwanza iliyokuwa na mchezaji wa kigeni toka Nigeria
 
Gari yoyote yenye rangi ya "Purple" imekuwa ya Mbeya City sasa...
 
Kwa hiyo ahadi ya AZAM karibia itimie sio?
 
Back
Top Bottom