Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,548
Safii sana, turudi kama zamani kila mkoa uwe na timu inayoleta ushindani wa kweli. Mbeya City mkakati wa kwanza nawasihi wajitahidi kuwaretain wachezaji wake nyota wasirubuniwe na simba au yanga. Pili, waweke kipaumbele kwenye kuibua na kunyanyua vipaji vipya hasa under 21, 20 na 17. Wakifanya hivi, watakuwa tishio kwa muda mrefu ujao.