kwa taarifa kutoka ITV kunamapigano kati ya waarusha na wamasai kwenye eneo la Longindo kutokana na malisho ya mifungo tunaomba walio karibu wazidi kutuhabarisha
tangu lini tatizo likatatuliwa na aliyelisababisha???watu 12 wamejeruhiwa na nyumba kuchomwa moto!govt itatue migogoro ya ardhi kabla ya madhara makubwa