Mapigano ya waislam msikiti wa Taqwa

Mapigano ya waislam msikiti wa Taqwa

Status
Not open for further replies.

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
kumezuka mapigano makali kwenye msikiti wa Taqwa hapa Bagamoyo waislam wanachapana bakora muda huu sababu haijajulikana..hali ni tete sana
 
Takkbirrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!! Alwakubar!
 
FFU wanakuja na kuanza kutembeza mkongoto..duu..
 
Waambie waache hizo...bado tunaomboleza madiba
 
Hivi hilo eneo la msikiti lina ukubwa gani maana linaweza kufaa kwa uwekezaji.
 
kumezuka mapigano makali kwenye msikiti wa Taqwa hapa Bagamoyo waislam wanachapana bakora muda huu sababu haijajulikana..hali ni tete sana

Waache wapigane kwani ni sehemu ya ibada yao ya kumtumikia mola wao...
 
Waislam hawataki upuuzi wa kiongozi,ukileta ujinga unachapwa bakora,siyo wale wasioweza kuhoji unabii na utume wa uongo
 
  • Thanks
Reactions: Luv
ISLAMIC is a religion of PEACE.

Islam is a religion of peace... hiyo Islamic labda ni yako wewe

Sio kila aendae msikitini au kanisani ni muislam au mkristu... kumbuka hizi dini zina masharti yake na wengi wanavunja na bado kuendelea kuamini wao ni waumini swafi

Ukikua utafahamu kwamba kwenye msafara wa kenge, mamba wapo
 
  • Thanks
Reactions: Luv
kumezuka mapigano makali kwenye msikiti wa Taqwa hapa Bagamoyo waislam wanachapana bakora muda huu sababu haijajulikana..hali ni tete sana
Umeishakunywa gongo la padri basi unaropoka tu hivi nyie Chadema Waislam waliwakosea nini.
 
Waache wapigane kwani ni sehemu ya ibada yao ya kumtumikia mola wao...

Hahahaaaaaaa! Kuchinja kwetu ibada,kuhiji ibada,kujilipua ibada,kutokomeza dini nyingine kwa kuua ibada na KUTWANGANA SISI WENYEWE IBADA kwetu tuacheni jamani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom