Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,224
Kwa ardhi kubwa tuliiyonayo mapigano ya ardhi ni ya lazima kweli ama uzembe wa serikali?
Mimi sio mtu wa kunzisha uzi or kukomenti ila nlichokiona leo kimeniuma. Iwaje mtu mapigwe mkuki mpaka utokee upande wa pili?
Kisa wanasema eti ardhi, ardhi? Swala sio ardhi. Wamasai waliompiga jamaa mkuki wanamiliki ardhi ipi?
Tanzania tunatatizo kubwa la umiliki wa silaha kinyume cha sheria. Wamasai wanatembea na silaha kila mahala watakavyo na lakini wengine wakifanya hivyo wanachkuliwa hatua za sheria.
Wamasai wako juu ya sheria? Maana wanatembea na silaha, na wanavunja sheria kwa kuharibu mashamba ya watu na pindi watu wasio na silaha, wanapojaribu kulinda mashamba yao wanashambuliwa na silaha za Wamasai wanazobeba.
Hili swala ni la miaka mingi zaidi ya 30.
Na kwa muda sasa Serikali imekua kimya juu ya mauaji na majeraha jamii hii ya wabeba silaha kisheria ya Kimasai imekua ikifanya.
Ni kwanini waruhusiwe kuendelea kubeba silaha? ama ni ishara kwa wengine kubeba silaha na kujichukulia sheria mikononi?
Mimi sio mtu wa kunzisha uzi or kukomenti ila nlichokiona leo kimeniuma. Iwaje mtu mapigwe mkuki mpaka utokee upande wa pili?
Kisa wanasema eti ardhi, ardhi? Swala sio ardhi. Wamasai waliompiga jamaa mkuki wanamiliki ardhi ipi?
Tanzania tunatatizo kubwa la umiliki wa silaha kinyume cha sheria. Wamasai wanatembea na silaha kila mahala watakavyo na lakini wengine wakifanya hivyo wanachkuliwa hatua za sheria.
Wamasai wako juu ya sheria? Maana wanatembea na silaha, na wanavunja sheria kwa kuharibu mashamba ya watu na pindi watu wasio na silaha, wanapojaribu kulinda mashamba yao wanashambuliwa na silaha za Wamasai wanazobeba.
Hili swala ni la miaka mingi zaidi ya 30.
Na kwa muda sasa Serikali imekua kimya juu ya mauaji na majeraha jamii hii ya wabeba silaha kisheria ya Kimasai imekua ikifanya.
Ni kwanini waruhusiwe kuendelea kubeba silaha? ama ni ishara kwa wengine kubeba silaha na kujichukulia sheria mikononi?