Mapichapicha ya CUF Tanganyika (Mungiki)

Mapichapicha ya CUF Tanganyika (Mungiki)

Hana akili huyu,anampigania Lipumba alieondoka CAF kwa akili zake timamu,watu wengine bure kabisa
Wewe ndo huelewi, dhambi ya kumleta Lowasa UKAWA ndo itawasambaratisha wote. Jitahidi kujua kiini cha tatizo, katiba ya cuf inasemaje juu ya mwenyekiti, Katibu Mkuu na viongozi wengine, siyo unakimbilia ku coment
 
Zitto naye alisema hivihivi kuwa siondoki CHADEMA Leo Yuko ACT wazalendo,Juliana naye alisema bado ni mkam Mwenyekiti wa Bavicha Leo Yuko CCM.
 
Maelezo yake yamenikanganya kidogo. Kwanza anakiri kwamba Baraza Kuu la CUF linayo hayo mamlaka ya kuwatimua chamani, lakini mwisho anadai "hatoki mtu CUF" halafu anakoleza kibwagizo chake kwa kuandika "Sasa ni hoja za mkabwela, dhidi ya vibaraka wa mabepari wa Tanganyika".

Tuliambiwa kwamba tatizo ni CUF Zanzibar kutowasikiliza wenzao wa Tanganyika, kuwaita watanganyika wenzako ni vibaraka wa mabepari wa Tanganyika, unaleta utata. Maana kama ungeandika ni vibaraka wa mabepari wa Zanzibar ingekuwa na maana, ama tuambiwe kwamba hata wao wa Tanganyika wamegawanyika kati ya hao "Makabwela" na "Vibaraka wa mabepari".Chama ambacho enzi za Lipumba kilikuwa kinahubiri sera za utajirisho kinakuwaje tena na chuki na Mabepari?
Hujaelewa ..... Anazungumzia Maalim kuwa kibaraka wa Lowassa & co.
 
Twende mbele,turudi nyuma lakini chanzo cha yooooote haya ni lile tendo MASHUHURI la KUBADILI GEAR ANGANI.
Watu wameshasahau walikojikwaa wamebaki kulaumu walikoangukia.
 
Hujaelewa ..... Anazungumzia Maalim kuwa kibaraka wa Lowassa & co.
Maalim awe kibaraka kwa kukataa kibaraka kuwa kiongozi wa chama alichokipigania wakati mwingine hata kuhatarisha maisha yake. Halafu huu ujinga wa kumkuza sana Lowassa hadi kufikia hadhi ya uungu mtu inawapa faida gani? Kila jambo ni Lowassa kafanya, mbona mnamuabudu sana nyie?
 
Huyu kambaya kashakula ela ela ya usaliti ni mbaya lazima uifanyie kazi Yake mwacheni tu amalizie kazi yake Mimi namsikitikia sakaya Na maftaha kuwa wabunge Wa mahakama kwa muda mrefu
 
Maalim awe kibaraka kwa kukataa kibaraka kuwa kiongozi wa chama alichokipigania wakati mwingine hata kuhatarisha maisha yake. Halafu huu ujinga wa kumkuza sana Lowassa hadi kufikia hadhi ya uungu mtu inawapa faida gani? Kila jambo ni Lowassa kafanya, mbona mnamuabudu sana nyie?
Lowasa the Don!
 
Kambaya ni mjinga sana eti Lipumba nae ni Musa maajabu ya karne halafu anadiriki kusema hatoki mtu Cuf amuulize mwenzie Zito unaleta jeuri kwa waliokupokea ulipokuja na kandambili..waende wakaanzishe chama chao tuone jeuri yao
 
Tatizo watu wanaingia kwenye vyama hivi vya siasa bila ya kuangalia Katiba za vyama hivyo zinasemaje. Kwanza kwenye CUF Zanzibar ina uwakilishi sawa kwenye vikao na Tanganyika, kwa ivo si rahisi kukwamisha mambo yao kama wanayataka kwani siku zote Akidi itatimia tu. Halafu wajumbe wengi wa Tanganyika ni wa kuokkoteza mitaani wengi wao hawatoke kwenye hiyo mikoa wala Wilaya wanazodai wanaziwakilisha.
Demokrasia thabiti ni lazima ipiganiwe kwenye vyama vya siasa......
 
Demokrasia thabiti ni lazima ipiganiwe kwenye vyama vya siasa......
Watu wakitaka kuandamana mnawaambia wafuate sheria, hawa waliojiuzulu wenyewe mnataka kuwarudhisha kienyeji kama mlivyowatoa kienyeji, HAIWEZEKANI. Waingereza wana msemo wao kuwa, huwezi kuila keki yako na ukaendelea kuwa nayo "You can't eat your cake and have it"
 
Twende mbele,turudi nyuma lakini chanzo cha yooooote haya ni lile tendo MASHUHURI la KUBADILI GEAR ANGANI.
Watu wameshasahau walikojikwaa wamebaki kulaumu walikoangukia.
Weka nyama ili jamii ikuelewe
 
Huyu dogo analeta ubaguzi wa uzanzibari na Utanganyika
kweli kabisa ndani ya CUF kuna uzanzibar watu wa bara wanaonekana kama vinyago. Lakini Sharifu Hamadi anapaswa kujua huu ni mwisho wa CUF na mwisho wake pia kisiasa na hata CHADEMA pamoja na kumtumia Mtatiro lakini lakini wajue kuwa kuiua CUF ni kuinyanyua ACT wazalendo kwa kuwa wanachama na wapenzi wa CUF wengi wataelekea huko.
 
Back
Top Bottom