Mngojee akiwa amevaa nguo za kiraia ndio umtongoza,akiwa na magwanda yake ukimtongoza tu utakuwa umemvunjia heshima kwa mujibu wa sheria za jeshi la polisi na ana uwezo wa kukuarest kama akiamua na ukashitakiwa,hivyo kuwa makini mkuu
Huku mtaani kwetu kuna mjeda mmoja mzuri mzuri hivi lakini sio kiviile alihamia mwanetu mmoja maskani akaomba namba za simu kimasihara akapewa (hapo alikuwa hajui kama yule demu mjeda) siku alipokuja kujua ni soldier mchizi akadelete number
Kuja kumchunguza vizuri yule soldier watu wanajipigia aibuuuu
Kwa siku atasindikiza wageni wa kiume hata watatu halafu atafuatwa na gari
Mwana kachokaaa hana hata hamu ya kumuaproach tenaaaa
Ilikuwaje mzee..
ni mwanamke kama wanawake wengine tu .
Kama unatongoza kwa busara anaweza kutoa
muda wake na kukusikiliza.
ni mwanamke kama wanawake wengine tu .
Kama unatongoza kwa busara anaweza kutoa
muda wake na kukusikiliza.
Kama we kweli lijari katongoze
Mkuu hiyo ni sheria kabisa kwamba asipigwe kamba akiwa kwenye 'Yunifomu'?
Dah.. Ugumu unakuja hapo kwenye kuanza
kwani papuchi wanaacha KAMBINI?
ungekuwa unajua kuwa hao askari magashi wanafeel company ya raia kuliko hata askari wenzao wa kiume yaani wala usingembwela mkuu...yaani kama nkate kwenye shai...wanalepweta tu maaskari wa kike...wakiona misimbazi kadhaa tu...kwisha kabisa... unakamata unamuelekeza kibra unachinja kama kawa...tena kunako tendo wengi wanakuwaga na mzuka ile mbaya...mkuu unaweza ukakuta ghafla unapigiwa salute...!
Habari za leo wanajamvi? Natumai mu wazima... Jaman leo nimekuja na hili swali.. Hivi inatuwia vipi sisi wanaume kuwatongoza askari polisi au wanajeshi wanawake?
Hapa mtaani kwetu kwa juu kidogo kuna kituo cha polisi sasa kuna askari mmoja wa kike ni mgeni (nadhani ni wale waliomaliza mafunzo miezi kadhaa iliyopita) kahamia hapa yaani ni kisu balaa.. Ila sasa ugumu unakuja nikishamuona tu ndani ya gwanda naona kama nikienda kuimbisha ntaambiwa 'Haroo unareta utani na jeshi ra Porisi eeh? Haya twende kituoni ukarare sero'.
Yaan huwa najiuliza yan sisi raia wa kawaida hatuwez kuwamiliki na kuwagegeda hawa askari polisi au wale wanaovaa ya mabaka mabaka wa kike? Loooh!!!!