Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
Kumbe ndo yanayofanyika!!!!????:shocked:mtafutie bwana humu humu MMU akupunguze stress
Kumbe ndo yanayofanyika!!!!????:shocked:mtafutie bwana humu humu MMU akupunguze stress
hahahahah kifo cha mende...uuuuuwiiiiiiiii majangaaaHalafu wewe wiki ya pili sasa hupigi simu
Kwanini lakini?
Au unataka nife kifo cha mende?
We ngoja tu!
hahahaha bora umfariji, japo si wote tumepita hukoPole sana naona amekukwaza sana, wote tulipitia hayo
Kumbe ndo yanayofanyika!!!!????:shocked:
Itakuwa vizuri..mana sieeleewiiiwewe uwe bahati yangu basi usome somo practically
we huwezi kufa kifo cha mende hicho wanakufa watoto
kipo kingine cha kiutu uzima lol...nitakubip mida ya lunch time