Pole sana naona amekukwaza sana, wote tulipitia hayo
hivi leo hii mtu kama anakupenda siku tatu hamja wasiliana anakwambie bize hakupendi kuna njia nyingi tu hata bila kuonana na ukatambua unapendwa tafuta anae kupenda sio kukuzingua
Junior Member Array Msianze mapenzi mkiwa fomu wani Bii, unaona matokeo yake unaandika kama umekatwa kichwa.
na haya mapenzi yatawauwa kifo cha mende...
umezoea fb nn
we huwezi kufa kifo cha mende hicho wanakufa watotoHalafu wewe wiki ya pili sasa hupigi simu
Kwanini lakini?
Au unataka nife kifo cha mende?
We ngoja tu!
Hivi leo hii mtu kama anakupenda siku tatu hamja wasiliana anakwambie bize hakupendi kuna njia nyingi tu hata bila kuonana na ukatambua unapendwa tafuta anae kupenda sio kukuzingua.